Dear mama....

Asprin yuko wapi, maana alipita hapa akaahidi kurudi sikumuona tena, mkuu magulumangu leo sijakusikia kabisaaa......lkn poa nipo klorokwini

mkuu majukumu si unajua tena na criss hii acha tu ila tupo pamoja man daima
 
sasa mkuu waja,
we noma,
kipindi kama mwaja,
si wakoma,
rusha mzee tu unguja,
si msoma,

Amejariwa yeye mwana,
kinoma,
jina le lina maana,
si kama,
Alianza kwa maana,
na tama,

Sasa tiba tuongeze
wa ganzi atuongoze
Kamba tusiilegeze
Hii fani tueneze

Kikosi kiko kamili
Tukikuze kiswahili
Fani tuwe mafahali
Magulu mwaga ngeli

Jukwaa watupatie
Nasi tujifarague
Wapya tuwaibue
Wakongwe tuwafufue
 
Sasa tiba tuongeze
wa ganzi atuongoze
Kamba tusiilegeze
Hii fani tueneze

Kikosi kiko kamili
Tukikuze kiswahili
Fani tuwe mafahali
Magulu mwaga ngeli

Jukwaa watupatie
Nasi tujifarague
Wapya tuwaibue
Wakongwe tuwafufue

Ganzi wapi sasa,
isije kuwa msasa,
wote tuna hamasa,
Ganzi lete mambo,mwana wa sindano,

atake asitakae kudungwa,
hata usiye taka kupimwa,
mwiite mwana mpwa,
Ganzi lete mambo,mwana wa sindano,

yeye ndo mwenye jina,
klokwini na magu tu wajina,
aspini pinile mwana,
Ganzi lete mambo,mwana wa sindano......
 
Ganzi wapi sasa,
isije kuwa msasa,
wote tuna hamasa,
Ganzi lete mambo,mwana wa sindano,

atake asitakae kudungwa,
hata usiye taka kupimwa,
mwiite mwana mpwa,
Ganzi lete mambo,mwana wa sindano,

yeye ndo mwenye jina,
klokwini na magu tu wajina,
aspini pinile mwana,
Ganzi lete mambo,mwana wa sindano......

Ganzi anajiandaa, kuleta kibao kipya
Ameshakuwa staa, fani anaichachafya
Sindano hii balaa, unazima ikibofya
Tiba sasa mezagaa, tupate njema afya

Naona haonekani, pengine ni majukumu
Yeye na aspirini , siwezi kuwalaumu
Namimi sijui lini, itakuwa yangu zamu
Maisha haya mjini, kwahakika ni magumu
 
Ganzi anajiandaa, kuleta kibao kipya
Ameshakuwa staa, fani anaichachafya
Sindano hii balaa, unazima ikibofya
Tiba sasa mezagaa, tupate njema afya

Naona haonekani, pengine ni majukumu
Yeye na aspirini , siwezi kuwalaumu
Namimi sijui lini, itakuwa yangu zamu
Maisha haya mjini, kwahakika ni magumu


mkuu huyu yakuonea kala kona nini? hahahahaha lkn tutamtafuta mpaka apatikane.....
 
Back
Top Bottom