joshydama
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,623
- 5,051
Hello Ladies and Gentlemen. Hope the thread finds you well.
An esteemed members of JF,I would like to know how to deal with an angry partner as it is titled hereinabove. Sometimes, It's hard to be in relationship with someone who is angered easily for no reason, kibaya Zaidi Hata kwa mambo ambayo siyo ya kukasirika wao wananuna tu mfano ukimwambia ukiweli au kumkosoa kuhusu kitu Fulani ananuna why?
Hii tabia ipo sana kwa dada zetu mfano mnaweza mkawa manatoka out or wherever sasa akawa amevaa nguo ambayo haina maadilia au haujaipenda ukimwambia tu ananuna utasikia "kamtafute ambaye anajua kuvaa vizuri utoke nae"
kwnini huwa mnanuna mkiambiwa ukweli? kwani ukweli una nini? kwanini hamtaki kukosolewa?
Tupeane uzoefu jinsi ya kuishi na wanawake wale wanaopenda kununanuna bila sababu au kwa sababu umemkosoa au umemwambia ukweli.
An esteemed members of JF,I would like to know how to deal with an angry partner as it is titled hereinabove. Sometimes, It's hard to be in relationship with someone who is angered easily for no reason, kibaya Zaidi Hata kwa mambo ambayo siyo ya kukasirika wao wananuna tu mfano ukimwambia ukiweli au kumkosoa kuhusu kitu Fulani ananuna why?
Hii tabia ipo sana kwa dada zetu mfano mnaweza mkawa manatoka out or wherever sasa akawa amevaa nguo ambayo haina maadilia au haujaipenda ukimwambia tu ananuna utasikia "kamtafute ambaye anajua kuvaa vizuri utoke nae"
kwnini huwa mnanuna mkiambiwa ukweli? kwani ukweli una nini? kwanini hamtaki kukosolewa?
Tupeane uzoefu jinsi ya kuishi na wanawake wale wanaopenda kununanuna bila sababu au kwa sababu umemkosoa au umemwambia ukweli.