"DEAD AID TO AFRICA" by Dr. DAMBISA MOYO

Your leaders can't acceapt this concepts coz zinawanyima ulaji.Utegemezi wa misaada kwa jamii ya Kiafrika imekuwa kuanzia ngazi ya familia mpaka taifa. Leo huwezi kumwambia mtu kama "Mkwere" aache tabia ya kuomba omba...hakuelewi...ipo kwenye damu.


It can be controlled, it is workable only if we set our mindset on it. Ni kweli imekuwa tegemezi kwa kuwa mtu ananyimwa kazi eti hadi awe na elimu ya chuo wakati kuna kazi nyingi tu ambazo elimu ya chuo haitajiki kabisa au mtu yeyote anaweza fanya lakini bado ajira watu wananyimwa. Ndio maana tunabakia kuwa tegemezi kuanzia majumbani mwetu. By the way, bongo inabidi vyuo viwe vinafundishwa watu practical aspect na siyo kuwajaza watu na theories kwani kinachotakiwa ni kuelewa concept na kisha kuifanyia kazi kuonyesha uelewa hapo tu tutakwenda mbali. Hii inamfundisha mtu kujiajiri mwenyewe na kutengenezea wengine ajira kedekede na hivyo kulinyayua taifa kiuchumi kwa kiasi fulani. Tatizo linakuja inabidi tuuze nje ya nchi pia ili kujikwamua na kushindana na wengine katika soko la kimataifa kama siyo soko la Afrika.
 
misaada ikiondolewa

1. Hela za corruption zitapungua sana, viongozi wa Africa hawatakuwa na uchu wa madaraka yasiyokuwa na faida na yanayotaka changanya ubongo, kwa hiyo slowly wenye moyo wa kuinua maisha ya maskini wata anza kujitokeza kugombea urais:)
2. bila kuwa na corruption wa africa watachagua viongozi wao kwa uhuru, wakizingatia sera zinazotekelezeka angalau kwa kiasi fulani, na sio wagombea kupiga kelele tu majukwaani "kazi millioni moja"! wakati mioyoni mwao wanajua kabisa MKUKUTA na MDGs ambazo ndio catalyst ya bajeti have no much to do with 80% farmers or industrialization
3. waafrica watakuwa hawana jinsi ila kuimarisha production na masoko ya ndani ya Africa, jambo ambalo litawapa sauti kiuchumi, kidogo kidogo nchi zilizoendelea zitafungua masoko yao, Africa ina ardhi na natural resources ambazo nchi nyingi tu wanahitaji, itabidi waje kufanya biashara kwa win win stratergy kwa sababu African governments zitakuwa na autonomy over economy policies sio ku base kwenye opinions za donors

''Imani'' ni kwamba misaada ikiondolewa itakuwa kama shock therapy, ambayo itapelekea organs zingine muhimu zipate uhai, uhai wa kiuchumi , which in theory inaeza kuonekana feasible model, lakini kwa maoni yangu hiyo itakuwa tu kutibu dalili badala ya maradhi yenyewe. Maradhi yenyewe hasa ni mfumo wa fedha wenyewe ulivo. Mfumo ambao main criteria ni FAIDA na MAFANIKIO-UBINAFSI.

Ktk market economy mitaji inapelekwa kufuatana na matokeo ya appraisal kwamba ni option gani inalipa zaidi kwa manufaa ya nchi au corporate husika.Hakuna factors nyingine iliyo ya maana kwa capitalists. Hoja yangu hapa ni kwamba hata tukiamua Afrika kuwa na sauti moja kutopokea misaada, kuweka utawala bora, kuweka misingi imara ya biashara na uzalishaji, kuhifadhi masoko etc etc, bado haya mataifa ya nje hayawezi kuruhusu tuwe competitors wao. Wakiwa 'lenient' kuturuhusu tuwe competitors wao maanake wao wataathirika kiuchumi in the long run kwa sababu watakosa masoko ya bidhaa zao, watakosa malighafi na labor ya bei chee, na pengine hata nguvu za kijeshi tunaeza kuwa juu yao. Theoretically usitegemee wakaturuhusu tufikie steji ya competitorship. That will be suicidal. Kuturuhusu hapa namaanisha 'kuturuhusu'. Hivo kama kweli tunataka kutatua matatizo ya Afrika once and for all, hatuezi ku-rely upon "Áfrican solution'', tutahitaji 'Global solution', ambapo mipango ipangwe kumnufaisha kila mtu ktk kila taifa. Uchumi wa dunia unawahusu wanadamu wote sio geographic issue.

IMO, 'African Solution' kwanza ni ngumu kuifikia kwa sababu Afrika sio nchi, ni bara with every nation ikiwa na challenge zake from vita, udini, ubaguzi wa rangi, ukabila, utawala wa kiimla, lack of vision, ufisadi ad infinitum. Pili changamoto kubwa iliopo mbele yetu ni watu wangapi wenye kuelewa na kuwa na nia ya dhati ya kumeza bitter pill ya kukata misaada na kuweka misingi yetu wenyewe ya kiuchumi? Maana hii ni kama vita, huwezi shinda bila kutoa damu. Kama wapo basi hawapo kwene nafasi ya kuweka impact. Tatu, uingiliaji wa mataifa ya nje, ambayo for obvious reasons hawajaacha ukoloni..literally. Hizi ni factors tosha kwamba adversity is much than we can take.
 
Pili changamoto kubwa iliopo mbele yetu ni watu wangapi wenye kuelewa na kuwa na nia ya dhati ya kumeza bitter pill ya kukata misaada na kuweka misingi yetu wenyewe ya kiuchumi?
Duh! Hii ni kitu ngumu sana kwa nchi zetu maana imeshakua kama ugonjwa sugu na siku zote tunajua kuwa dawa ya ugonja sugu ni kifo. Can we?:painkiller:
 
Umasikini wetu umeletwa na waarabu. Walitukamata utumwa, wakatuchapa bakora mpaka leo jamii yetu imeharibika. Angalia sehemu walizopita waarabu uone umasikini, ukosefu wa elimu n.k. Msilaumu misaada. Tulaumu wamanga.
 
Duh! Hii ni kitu ngumu sana kwa nchi zetu maana imeshakua kama ugonjwa sugu na siku zote tunajua kuwa dawa ya ugonja sugu ni kifo. Can we?:painkiller:

Tatizo sio misaada per se, ni watu wasiotaka kutafuta alternative nyingine za kiuchumi.
 
It is very unfortunate kwa baadhi yetu ambao hatujapata nafasi ya kukisoma, nilipata bahati ya kukisoma tangu Mwaka jana mwezi May mara tu kilipotoka. I wish mkisome kwa umakini then kujaribu ku-analyze comments zake, though kwa uelewa wangu mdogo ninaweza kuchangia mawili matatu kutoka kwa kile alichokiandika.

1. May be after decades of having several books from European or Americans economists, at last we hear a version from Dambisa, an African born Economists, tena kutoka hapo nchi jirani, Zamnbia!...

2. Had rised in a 'five star family', had gone to 'five star education institutions' and had worked in such prestigious institutions such as Bretton Woods institution made her comments to be relevant on one side (as she is aware of what is talking), and irrelevant on the other side (as she doesn't know the complexity of matters of the ground (here)).

3. Alicho advocate Dambisa is nothing new, honest speaking, though may be she has presented in different tone, dimension etc, sijui wenzangu kama mshawai soma kitabu cha Paul Collier (The Bottom Billions), au vile vya Jeffrey Sachs na Joseph Stilgritz, nimeshawai, that is why nasema hivyo. (naamisha, How we can End Povety-Sacchs, Globalization and its discontents, and How we can make globalization work vya Joseph)

4. Sitachambua content ya kile alicho kiandika, though will drop some comments upon the way forward ambazo Dambisa ame advocate, coz that is the point ambapo tunaona 'kuiva' kwa mwandishi. Katika way forward ndipo alipo pruvu Failure, it like ni an OLD WINE IN THE NEW BOTTLER, what she advocate most of the are obselete, kwa uchache tu, kitu kama kutegemea remittances na intertrade etc has proven failure, much as several economists has been praying that to happen.

Binafsi siamini kama LDC's tutaendelea bila kuwekeza katika sayansi na teknolojia, full stop!, tutapiga kelele wewee lakini at the end of the day kama hatuna sayansi na teknlojia sijuia hata hiyo TRADE (Inter Africa trade) ambayo Dambisa anaipigia debe itawezekana viopi iwapo hatuna kitu cha ku trade made in Tanzania, Kenya au Zambia, still we will carry on trading products from China na Japan, whc at the and of the day will catalyze the vicious cycle of dependency/poverty.

It is good to hear from her, though sioni kama amechambua vizuri nini sisi kama LDC's tunahitaji, alichokisema kwa uoande mwingine kimetupa empirical data's jinsi gani AID ni vicious to the dvlpt of LDC's.
 
Back
Top Bottom