DCI Manumba akata kauli

hivi kauli ikikatika huwa inarudi?
ah nauliza tu jamani!!!!:confused2:
 

Kwa kweli mkuu,inauma sana
 
Ishiiiii, ona hili nalo!!!
Ss ponda anahusika nn hapa??

Hujui Sheikh Ponda anahusika vipi enhe! wewe lala tu. Sheikh anakosa la Jinai la kuvamia Kiwanja na kuiba mali za kampuni ya Agritanza..na asipewe dhamana. aishie Segerea ang'atwe na mbu augue na afe kwa Malaria..na wengine walae vizuri nyumbani kwenye chandarua chenye dawa, na ofisi NA GARI zenye ACs.

Sheikh Ponda zidisha ubani baba...!
 
Iwakumbushe askari wote waliopewa dhamana ya kulinda uhai na mali za raia kutenda haki siku zote na kutimiza majukumu yao ipasavyo kwa mujibu wa sheria ili siku yao ya mwisho ifikapo basi wafe kifo chema.Kwa hali aliyonayo DCI Manumba hata kuomba toba hawezi,sisemi kwamba ameshiriki kufanya uzandiki uliopelekea wana wa nchi hii kupoteza maisha lakini kwa cheo alichonacho yeye yote pia yawezekana. Kila mtu ana siku yake na yawezekana kwa Manumba ndiyo siku zake zinavyokaribia,sitaki kuwa mtabiri ila ukweli ndiyo huo.Sisi wenye mamlaka tutubu sasa kwa madhambi na mauaji tuliyoyafanya kwa ndugu zetu na watanzania wenzetu ili tuendelee kufaidi mema ya nchi hii. Tusipofanya hivyo sasa,iko siku ambayo tutatamani kufanya hivyo lakini hatutaweza kama ilivyo kwa Manumba sasa




 
Habari nilizozipata hivi punde, mchana huu zinasema, nanukuu
''He was in Terminal illness with Palliative care but now he is in Brain Vegetation State''
Naamini kuna wataalam hapa JF watatuelewesha vizuri.

Tunamwomba Mungu amsaidie.

Hii ina maana kuwa ubongo wake umekufa ila moyo bado unadunda, of course kwa msaada wa mashine. Unamkumbuka waziri mkuu wa Israel Ariel Sharon? Mpaka wa leo yuko hai katika hali kama hii uliyoieleza.
 
Hii ina maana kuwa ubongo wake umekufa ila moyo bado unadunda, of course kwa msaada wa mashine. Unamkumbuka waziri mkuu wa Israel Ariel Sharon? Mpaka wa leo yuko hai katika hali kama hii uliyoieleza.
kwa hiyo akipona na ubongo utafufuka?
 
hii dunia hii!! haya MAPENZI YA MUUMBA JUU YATIMIE, SI TUTAKAVYO SISI, BALI KWA HURUMA NA MASTAHILI YAKE JUU YETU! KIBINADAMU TUNAKUOMBEA UPONE!
 
Ewe mwenyeenzi mungu mponye manumba roho yake na mwili (ikikupendeza)
 
Natamani Upone Baba angu, ila kila nikimkumbuka Mwangosi, najikuta naku....
 
hii dunia hii!! haya MAPENZI YA MUUMBA JUU YATIMIE, SI TUTAKAVYO SISI, BALI KWA HURUMA NA MASTAHILI YAKE JUU YETU! KIBINADAMU TUNAKUOMBEA UPONE!

Hapo kwenye KIBINADAMU TUNAKUOMBEA UPONE NIMEPAPENDA........LAKINI MAPENZI YAKE ALLIYEKO JUU YATIMIE ILI KUKIOKOA KIZAZI HIKI.
 
kwa hiyo akipona na ubongo utafufuka?

Highly highly unlikely!! Mtu wa namna hiyo anakuwa CLINICALLY dead. Kifo cha mtu kinakuwa decided na moyo. Moyo ukiacha tu kudunda, mtu anatangazwa kuwa amekufa kisheria.
 
Highly highly unlikely!! Mtu wa namna hiyo anakuwa CLINICALLY dead. Kifo cha mtu kinakuwa decided na moyo. Moyo ukiacha tu kudunda, mtu anatangazwa kuwa amekufa kisheria.
aisee kama ndo hivyo hii ni hatari,Mungu amnusuru ingawa utakuwa ni muujiza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…