Ni kweli kuwa zamani alikuwa anapigwa kipara?Chokoraa huyo
LumbarPiga kazi Murro , hao wanafiki na watetezi wa Mafisadi chadema hatuwahitaji tena huku Arumeru.
Lakini mbona matukio haya ya kijinga ni awamu hii tuu? Wapo wengine walikuwepo kutokea awamu ya nne lakini hawakuwa mabwege kama walivyo sasa kwa nini? Hiyo ni ishara kuwa kiongozi wa awamu hii ndiye ana wasukuma kuleta huu upumbavu kwa kasi ya ajabu.hawa wakuu Wa wilaya vijana wanatuangusha sisi vijana wenzao sana. kwa kufanya kazi ni kwa kuvunja sheria tu. inasikitisha sana...
Avatar yako inaonyesha wewe ni mtumwa wa akiliMkuu wa wilaya ya Arumeru ,Jerry Muro huenda akaingia kwenye msuguano mkali na chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema wilayani humo kwa hatua yake ya kushusha bendera zake pindi anapokuta zikipepea kwenye maeneo ya biashara zilizosimikwa na wapenzi wa chama hicho.
Mapema leo Muro wakati alitoka kuangalia majeruhi wa ajali katika hospital ya Selian ,Ngaramtoni,alifika katika Duka moja la mfanyabiashara wa Makochi na alipoiona Bendera ya Chadema ikipepea aliamuru Dereva wake asimame na kuifuata bendera hiyo.
Alipofika Muro alimwamuru mfanyabiashara huyo wa Makochi ambaye hakufahamika jina lake Mara moja, aamue moja kufanya biashara ama kuendeleza siasa ,Hata hivyo kabla ya kijana huyo kujibu alimtaka ashushe bendelea hiyo Mara moja.
"Arumeru hii si ile ya zamani msinijaribu lazima tuheshimiane chagua moja kazi ama siasa" Alisema Muro
Jambo hilo liliwashangaza wananchi mbalimbali waliokuwepo eneo hilo huku ikielezwa kuwa linaweza kuleta mtafaruku wa kisiasa kwa hatua yake ya kushusha bendera za Chadema huku za CCM zilizopo vijiweni kwenye biashara akiziacha ziendelee kupepea.
Hakumaanisha mahakama unayoijua mkuu..niishie hapoKama ni kweli huu ni ulevi wa madaraka. Na nimemsikia Jerry Muro akisema kwenye luninga eti Arumeru wao wanampango maalum kwa makosa fulani, mkosaji hapewi dhamana. Nikajiuliza sana hivi yeye ndio mahakama!
Ufala mwingine muufichagePiga kazi Murro , hao wanafiki na watetezi wa Mafisadi chadema hatuwahitaji tena huku Arumeru.
Za ccm zinavyopepea hovyo kwenye magenge mbona hazishushwi?Kama sio kwenye Tawi la chama linalotambulika kuwa ni tawi basi bendera haipaswi kuwepo
Umesahau kuwa yule fisadi amerudi nyumbani Mkuu?Piga kazi Murro , hao wanafiki na watetezi wa Mafisadi chadema hatuwahitaji tena huku Arumeru.
Ndio kazi maalumu waliopewa hiyo ngoja tuone muda utasemaMkuu wa wilaya ya Arumeru ,Jerry Muro huenda akaingia kwenye msuguano mkali na chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema wilayani humo kwa hatua yake ya kushusha bendera zake pindi anapokuta zikipepea kwenye maeneo ya biashara zilizosimikwa na wapenzi wa chama hicho.
Mapema leo Muro wakati alitoka kuangalia majeruhi wa ajali katika hospital ya Selian ,Ngaramtoni,alifika katika Duka moja la mfanyabiashara wa Makochi na alipoiona Bendera ya Chadema ikipepea aliamuru Dereva wake asimame na kuifuata bendera hiyo.
Alipofika Muro alimwamuru mfanyabiashara huyo wa Makochi ambaye hakufahamika jina lake Mara moja, aamue moja kufanya biashara ama kuendeleza siasa ,Hata hivyo kabla ya kijana huyo kujibu alimtaka ashushe bendelea hiyo Mara moja.
"Arumeru hii si ile ya zamani msinijaribu lazima tuheshimiane chagua moja kazi ama siasa" Alisema Muro
Jambo hilo liliwashangaza wananchi mbalimbali waliokuwepo eneo hilo huku ikielezwa kuwa linaweza kuleta mtafaruku wa kisiasa kwa hatua yake ya kushusha bendera za Chadema huku za CCM zilizopo vijiweni kwenye biashara akiziacha ziendelee kupepea.
Msajili jaji mutungi bado yuko kimya?Mkuu wa wilaya ya Arumeru ,Jerry Muro huenda akaingia kwenye msuguano mkali na chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema wilayani humo kwa hatua yake ya kushusha bendera zake pindi anapokuta zikipepea kwenye maeneo ya biashara zilizosimikwa na wapenzi wa chama hicho.
Mapema leo Muro wakati alitoka kuangalia majeruhi wa ajali katika hospital ya Selian ,Ngaramtoni,alifika katika Duka moja la mfanyabiashara wa Makochi na alipoiona Bendera ya Chadema ikipepea aliamuru Dereva wake asimame na kuifuata bendera hiyo.
Alipofika Muro alimwamuru mfanyabiashara huyo wa Makochi ambaye hakufahamika jina lake Mara moja, aamue moja kufanya biashara ama kuendeleza siasa ,Hata hivyo kabla ya kijana huyo kujibu alimtaka ashushe bendelea hiyo Mara moja.
"Arumeru hii si ile ya zamani msinijaribu lazima tuheshimiane chagua moja kazi ama siasa" Alisema Muro
Jambo hilo liliwashangaza wananchi mbalimbali waliokuwepo eneo hilo huku ikielezwa kuwa linaweza kuleta mtafaruku wa kisiasa kwa hatua yake ya kushusha bendera za Chadema huku za CCM zilizopo vijiweni kwenye biashara akiziacha ziendelee kupepea.
Kwa hio katiba yetu imekamilika?Tupe kifungu iko chakushusha bendera
Mkui, Kama ni Issue ya Leseni angedaiwa leseni. Kwa hiyo kama hana leseni basi hana haki ya kuamua apende chama gani? Mambo tunachanganya mambo!!! Hivi a rule of law maana yake ni nini?Je mfanya biashara huyo ana leseni ya biashara anayo ifanya? au kuwa na kitambulisho cha ujasiriamali?kama hivyo na sifa nyingine za kufanya biashara hizo anazo basi Mh Dc atakuwa kakosea sana
Bendera inamzuia mtu kufanya kazi?Tuko sahihi kabisa huu ni muda wa kupiga kazi sio muda wa kufanya siasa.