BabuFey
JF-Expert Member
- Feb 13, 2023
- 2,748
- 4,353
Wapo ukumbi wa sherehe wa Tanzanite kanisa linefungwa bado, hii inaonyesha woga umeanza kwa Dikteta Uchwara.Sijaelewa, kwani kanisa la Gwajima limefunguliwa?
Wapo ukumbi wa sherehe wa Tanzanite kanisa linefungwa bado, hii inaonyesha woga umeanza kwa Dikteta Uchwara.Sijaelewa, kwani kanisa la Gwajima limefunguliwa?
Na wewe hujui weweMjinga ni wewe.....!
Huoni Kanisa Katoriki walipozuia Viongozi wa Siasa kuongea madhabauni Nini kilitokea....!?
Unadhani Msando alienda kusali ama kujikosha tu pale, unadhani Mungu anapenda Unafiki, unadhani kilichompelea pale ni Dhambi....!?
Kama kutubu ndiyo kulimpeleka pale angeweza kufanya hivyo ofisini kwangu.....! Na nikamwombea Toba....!
Wamepiga Waumini na kuwaumiza, hata walipoenda kujibanza Kwa Kanisa la Jirani wakaenda kuvunja na Kanisa lenyewe.....!
Sasa ndiyo uelewe Kwa Nini Kanisa Katoriki limepiga Marufuku Wanasiasa kuongea Kanisani Kwa Sababu ya Unafiki.Na wewe hujui wewe
Dhambi toka lini ubaungama kwa mtu?
Katoliki wamepiga marufuku vitu hewa.Wanajitekenya na kucheka wenyewe
Wao wenyewe ndio waliokuwa wakiwaalika wanasiasa waongee.Walikuwa hawajialiki
Akiwemo hatavTundu Lisu mara kadhaa akienda kusali alikuwa anapewa nafasi na mapadre na maaskofu aongee
Hilo katazo la katoliki limekaa kijinga tu.Hakuna mtu alikuwa akiomba aongee
Zoezi gani acha unafiki na wewe,Pongezi nyingi kwake kwa zoezi hili muhimu.
Wewe kwani ni Mungu kujua yaliyokuwa moyoni mwake kama alikuwa mkweli au mnafiki?Alichofanya ni Unafiki ambao wengine sisi hatupendi Unafiki....! Na Mungu ndiyo hapendi Unafiki kabisa.
Kama Maandishi tu hujui kusoma, hata Picha huoni kwa yanayoendelea Tanzania.....!Wewe kwani ni Mungu kujua yaliyokuwa moyoni mwake kama alikuwa mkweli au mnafiki?
Mungu ka kukaimu lini madaraka yake ya kujua yaliyomo ndani ya mioyo.ya watu na kukukabiddhi wewe?
Saluti hata RPC Kova alipigia Jeneza la Kanumba usiwe mpumbafMkuu wa wilaya ni amiri jeshi wa wilaya
Kwa viongozi wa Jeshi walioko wilayani mwake aweza kuwapa amri za utekelezaji majumkumu ndani ya wilaya yake ndio masna majeshi yote na viongozi wao waliomo.wilayani humpigia saluti
Kupigia maiti saluti ni special case dunia nzima kwa askari yeyote sio TanzaniaSaluti hata RPC Kova alipigia Jeneza la Kanumba usiwe mpumbaf
Mwongo mkubwa weweMwenyekiti wa Kamati ya ulinzi na usalama wilayani siyo Amiri Jeshi mkuu tena Boss wake ni mwenyekiti wa CCM wilayani 😂
umbavu na ina drama failed state kwahiyo hiyo nayo ni habari ya kuipa headache? Taifa linawaza ujinga ujinga tu na siasa za majitakaView attachment 3412116
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Albert Msando amefika kusali pamoja na waumini wa kanisa la Glory of Christ (Ufufuo na Uzima) wanaosali katika ukumbi wa Tanzanite jijini Dar es Salaam.
View attachment 3412114
Awali kabla hajafika Naibu Katibu mkuu wa Kanisa hilo, Maximilian Machumu maarufu Askofu Mwanamapinduzi, aliwauliza waumini kama DC Msando kama amefika kwenye ibada yao, baada ya kiongozi huyo kuahidi kufika katika ibada hiyo wiki iliyopita.