DC Msando atinga kanisani wanaposali waumini wa Gwajima

DC Msando atinga kanisani wanaposali waumini wa Gwajima

Hao waumini wawe wanahama ukumbi kila J'pili,muda si mrefu na hapo panatiwa nuksi.

Imagine na huko pamejazwa difenda leo!!!
 
Mtoto anachapwa akileta ujinga
hapo hawajawachapa, wamewanyonga.mzazi anayenyonga na kukomoa mtoto hafai, ajue mtoto naye akipata nguvu wakati yeye ni mzee atajirudishia. hakuna ubaya uanendaga bure. kaeni vizuri na watoto wenu.
 
Yaani licha ya kuwaumiza kiasi kile, Samia kaanza kutafuta kura zao au mapatano nao kwa jinsi ile?

doh! Tanzania yangu
 
Kaenda kuwaonyesha kuwa kama kanisa linaendesha ibada za kumwahudu Mungu tu hata viongozi wa serikali wako tayari kwenda kusali hayo makanisa

Ni somo kwao waelewe
 
Leo mapolisi hawakuwepo kupiga mabomu? Kwa nini Msando hajapigwa mabomu ya machozi? Au kanisa limefunguliwa kinyemela?
 
Kaamua ajirudi mapema sana baada ya kuchungulia mbele kaona dereva kaachia mikono🤣
Ndie amiri jeshi mkuu wa wilaya kiongozi wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya kaenda kuangalia usalama pia kama kanisa limetulia na kuwa kama sasa wameamua agenda yao iwe kunwabudu Mungu tu sio mambo mengine na kurudisha ripoti kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya

Ndio maana hadi polisi wamepunguzwa idadi pale waliposali leo
 
Ndie amiri jeshi mkuu wa wilaya kiongozi wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya kaenda kuangalia usalama pia kama kanisa limetulia na kuwa kama sasa wameamua agenda yao iwe kunwabudu Mungu tu sio mambo mengine na kurudisha ripoti kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya

Ndio maana hadi polisi wamepunguzwa idadi pale waliposali leo
Unaelewa maana ya Amiri Jeshi mkuu?
 
Hawa ndio mlitakiwa kuwatenga katika Makanisa. Msiwape heshima. Hakuna Mkuu zaidi ya Mungu! Asijihurumishe hapa!

Karibu tunafika nchi ya ahadi kule kuliaminika ndilo lilikuwa shamba la Edeni (Adam na Hawa).

*sijataja nchi so mods muache kudelete comments za shamba la Edeni aka nchi ya ……
 
Msando ni aina ya tisiii wezi na wasiokuwa na maadali ya KAZI zao, achunguzwe haraka hafai.
 
Ndie amiri jeshi mkuu wa wilaya kiongozi wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya kaenda kuangalia usalama pia kama kanisa limetulia na kuwa kama sasa wameamua agenda yao iwe kunwabudu Mungu tu sio mambo mengine na kurudisha ripoti kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya

Ndio maana hadi polisi wamepunguzwa idadi pale waliposali leo
Ohoo kumbe? Haya sawa
 
View attachment 3412116
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Albert Msando amefika kusali pamoja na waumini wa kanisa la Glory of Christ (Ufufuo na Uzima) wanaosali katika ukumbi wa Tanzanite jijini Dar es Salaam.

View attachment 3412114
Awali kabla hajafika Naibu Katibu mkuu wa Kanisa hilo, Maximilian Machumu maarufu Askofu Mwanamapinduzi, aliwauliza waumini kama DC Msando kama amefika kwenye ibada yao, baada ya kiongozi huyo kuahidi kufika katika ibada hiyo wiki iliyopita.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
downloadfile.jpg
wametenga bungo
 
Unaelewa maana ya Amiri Jeshi mkuu?
Mkuu wa wilaya ni amiri jeshi wa wilaya
Kwa viongozi wa Jeshi walioko wilayani mwake aweza kuwapa amri za utekelezaji majumkumu ndani ya wilaya yake ndio masna majeshi yote na viongozi wao waliomo.wilayani humpigia saluti
 
Walimpa Nafasi ya kuongea....!?

Ningekua Mimi ni Mchungaji ningefunga Mlango wa Kanisa then tungeendelea na Ibada.

Kama DC angetaka angekuja ofisini kwangu ama angeniita ofisini kwake.

Kuna Waumini wameumizwa Vibaya sana Kwa kupigwa na Kwa usimamizi wa Mkuu wa Wilaya.

Nisingemruhusu aingie Kanisani.
 
Walimpa Nafasi ya kuongea....!?

Ningekua Mimi ni Mchungaji ningefunga Mlango wa Kanisa then tungeendelea na Ibada.
Hilo litakuwa sio kanisa .

Kanisa liko wazi kwa kila mtu wenye dhambi pia wakiwemo kuhudhuria ibada mjinga wewe
 
View attachment 3412116
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Albert Msando amefika kusali pamoja na waumini wa kanisa la Glory of Christ (Ufufuo na Uzima) wanaosali katika ukumbi wa Tanzanite jijini Dar es Salaam.

View attachment 3412114
Awali kabla hajafika Naibu Katibu mkuu wa Kanisa hilo, Maximilian Machumu maarufu Askofu Mwanamapinduzi, aliwauliza waumini kama DC Msando kama amefika kwenye ibada yao, baada ya kiongozi huyo kuahidi kufika katika ibada hiyo wiki iliyopita.
Kasoma upepo
 
Hilo litakuwa sio kanisa .

Kanisa liko wazi kwa kila mtu wenye dhambi pia wakiwemo kuhudhuria ibada mjinga wewe
Mjinga ni wewe.....!

Huoni Kanisa Katoriki walipozuia Viongozi wa Siasa kuongea madhabauni Nini kilitokea....!?

Unadhani Msando alienda kusali ama kujikosha tu pale, unadhani Mungu anapenda Unafiki, unadhani kilichompelea pale ni Dhambi....!?

Kama kutubu ndiyo kulimpeleka pale angeweza kufanya hivyo ofisini kwangu.....! Na nikamwombea Toba....!

Wamepiga Waumini na kuwaumiza, hata walipoenda kujibanza Kwa Kanisa la Jirani wakaenda kuvunja na Kanisa lenyewe.....!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom