DC Mbarali apigwa mawe, anusurika kifo!

Naona hakujua watu wa mbeya wameelimika,hawataki ujinga.na hao wanafunzi walijua Dc hana mamlaka ya kufunga chuo ndo mana wakamchapa.
 
huu ni mwanzo tu, wanaodhani tanzania ya zidum fikra za mwenyeki hatakama mbovu wanaitikia zidumuu bado ipo wapime wakati kwa matukio.

Wanaoendeleza upumbavu wa kuikabidhi cdm kila aina ya ubaya waendelee lakini, wataumbuka siku moja na wengine kufa kwa pressure maana hawataamini kitakachotokea.

penye ukweli tuukubali na tujirekebishe.

mbeya, arusha, mwanza, iringa, mara wanaongoza safari ya kupigania haki zao, morogoro ipo njiani na kwingineko wanakuja kwa kasi ya ajabu.
 
Naona hakujua watu wa mbeya wameelimika,hawataki ujinga.na hao wanafunzi walijua Dc hana mamlaka ya kufunga chuo ndo mana wakamchapa.


Domy

Huku mbeya kunanidham si unakumbuka hata mkuu wa kaya alinusulika kichapo huko mbuyuni na kanga hapo kabla.


Huku raia hawataki kejeri, nadhani bado wanamvutia muda yule muwekezaji anaewasumbuwa mbalali nadhani ni muda tu mtamsikia siku moja.


Watu wanataka haki na kuheshima. kandolo amejifunza na wamemuheshimu kwa sasa baada ya kumtia adabu alipojifanya kichwa ngumu.
 
Ninamtumia binti mmoja wa chuo hicho kwenye duka la dawa, yuko vizuri sana kwenye taaluma, na customer care ya hali ya juu.
 
uongozi wa sasa unahitaji diplomacy ya hali ya juu na sio ubabe au amri!
Heko vijana wa redcross!
 
Nadhani mmejionea ITV Dc alivyo na majibu mabaya ya kuudhi.hata me ningempiga
 
Ma-DC ni kero sasa. Yaan bado wakifanya kazi kama walivyofanya Ma-DC wa kikoloni. Yaani imekuwa kero.
 
Ingawa si vizuri kujichukulia sheria mikononi, watawala wetu wamezidi. Nadhani huu ni wito kuwa wananchi sasa wamechoka na wanataka kujikomboa baada ya kungundua kuwa mamlaka ziko pale kuwanyanyasa.

Mkuu wa wilaya si msajili wa vyuo hivyo kisheria hana mamlaka ya kufunga chuo. Yote hii inatokana na ukweli kuwa wakuu wa wilaya na mikoa hawana kazi maalum za kufanya kiasi cha kujifanyia kila watakacho.

Hawa ni wanyonyaji kwa mlipa kodi. Hivyo wasimchokoze kwa kutaka kumburuza na kumuonea. Kesho utasikia polisi wametumwa na kupiga kunyanyasa kujeruhi hata kuua. Wataua miili lakini si roho. Alluta continua bravo vijana wa Mbeya. Mbeya inaanza kuwa kinara wa ukombozi baada ya kuthubutu hata kumtungua rais kwa mawe.
 
Hawa watawala inabidi waangalie namna ya kufanya kazi na wananchi, wasichukulie kuwa nyakati zimeganda. Wakae wakijua raia wana hasira na wanatafuta sehemu ya kuzitolea. Mfano angeweza kabisa kusaidia chuo kisajiliwe ili kitoe huduma kihalali badala ya kukifunga.
Brilliant. Huyu Dc angekuwa na akili kama ktk bold, angekuwa wa maendeleo. One of these days, ninavyoona, kuna mmojawao atapatikana na makubwa zaidi. Mara Dc kawachapa waalimu viboko, mara kamtukana mwanasheria wa Halmashauri, mara kaamuru kuvunjwa nyumba za raia.

Haya mambo yataendelea kuchemka chini kwa chini, lakini wakati ukifika, na naona umeshafika, watu watatetea haki zao katika utaratibu ule ule wa 'liwalo na liwe'.

Kuna viongozi watakapofariki,ama wakipata matatizo, raia au wale wanaowaongoza watafurahi na kushangilia. Utakuwa umekufa sawa, lakini unawapa shida ndugu na jamaa watakokuzika. Unawapa shida wahubiri msibani kutafuta mambo mema wanapotoa hotba msibani. U-Dc umekuwa ni ulevi sasa!
 
Wananchi wa Mbarali na maeneo ya jirani tangu jana nawasikia live wanafurahia kifo cha yule mama Ngulume aliyewahi kuwa DC kule na kusimamia zoezi la kuhamisha wafugaji. Yeye pia alikoswakoswa mara kadhaa kupigwa mishale ya sumu. Huyu naye kaanza vibaya.
 
Hao wanafunzi watakuwa wanavuta bangi tu. Haiwezekani umpige mawe mtu ambaye ana umri sawa na wazazi wako. Mitoto ya siku hizi haina adabu kabisa kwasababu ya mindumu.

Usiwatukane hao watoto elimu ni haki yao. Si kazi yao kujua chuo kimsajiliwa ua la. Wao wana kiu ya elimu halafu ghafla masomo yanakatishwa. Ungekuwa wewe au mtoto wako ni mmoja wao ungejisikiaje? Pengine huyu DC aliwahi kuvuta bangi kwa sababu hakuonyesha hekima na busara zaidi ya kuchokoza nyuki. Wacha zimuume kajitakia.
 
Mkoa wa Mbeya watu wake si wakuwachezea, ni watu wenye msimamo na wanajua haki zao!! Mmesahau jamani kuwa ni watu wa mkoa huu huu ndio waliompopoa mawe Mkweree!!!
 
Domy

Huku mbeya kunanidham si unakumbuka hata mkuu wa kaya alinusulika kichapo huko mbuyuni na kanga hapo kabla.


Huku raia hawataki kejeri, nadhani bado wanamvutia muda yule muwekezaji anaewasumbuwa mbalali nadhani ni muda tu mtamsikia siku moja.


Watu wanataka haki na kuheshima. kandolo amejifunza na wamemuheshimu kwa sasa baada ya kumtia adabu alipojifanya kichwa ngumu.

watu wa mbeya ni wapole sana kama mtakaa mezani,ila ukijifanya mbabe oooh wanakuchenjia tu.Liwalo na liwe hiyo ndo semina elekezi.
 
Kwa nini wasingemtoa jicho?safi sana wanafunzi haki haiombwi inapiganiwa na sasa tunajua maDC wapo kwa ajili ya kulinda lichama la magamba ambalo limejipambanua kuwanyima watanzania elimu bora ili watutawale....nyambafu tumewashtukia...liwalo na liwe!!!
 
Jamani Mr. Presidant Kikwete is heading for trouble kama utendaji wa wateule wake ndio huu. Huyu DC anamwaibisha kupita kifani. Baada ya majigambo na mbwembwe za semina elekezi ni utendaji gani huu. Tanzania ni nchi ya vituko ila tuamini iko siku vitafikia ukomo.
 
Back
Top Bottom