Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,158
- 9,168
Hao wanafunzi watakuwa wanavuta bangi tu. Haiwezekani umpige mawe mtu ambaye ana umri sawa na wazazi wako. Mitoto ya siku hizi haina adabu kabisa kwasababu ya mindumu.
Hiyo ndio nini?
Hao wanafunzi watakuwa wanavuta bangi tu. Haiwezekani umpige mawe mtu ambaye ana umri sawa na wazazi wako. Mitoto ya siku hizi haina adabu kabisa kwasababu ya mindumu.
Mkuu Domy hawa watu walikuwa wanatumika sana enzi za ukoloni mwalimu alikopy na kupeste kwenye serikali yake sasahivi nimzigo tu kwa walipa kodi vyeo hivi tupigane kwenye katiba vifutwe tubaki tu na wakurugenzi na tuanzishe majimbo yatawaliwe na magavana tena wachaguliwe na wananchi mkuu.
Ndio.DC ana mamlaka ya kufunga chuo cha uuguzi?
Unajuaje hakufuata uratatibu na hakuupa uongozi muda?Kajitakia kwanini asifuate taratibu za ukaguzi na kama kunamapungufu angeupa uongozi muda wa kukamilisha usajiri,
Mgeni na Mbeya? Kwani Mbeya ina sheria zake?kwani mgeni na mbeya?
You got it backwards!kama ni uzembe ni wa serikali kwa kutofuatilia mapema kuhakikisha kwamba chuo kinakamilisha taratibu za usajili kabla hakijaanza kudahili wanafunzi.
Unajuaje hakuupa uongozi wa chuo muda wa kukamilisha usajili?Ama ni kwanini hakuona umuhimu wa kuupa uongozi/mmiliki wa chuo muda wa kukamilisha usajili kabla hajafikia uamuzi wa kufunga chuo?
Hao wanafunzi watakuwa wanavuta bangi tu. Haiwezekani umpige mawe mtu ambaye ana umri sawa na wazazi wako. Mitoto ya siku hizi haina adabu kabisa kwasababu ya mindumu.
Na bado ! Anae fuata sasa atakua ni wasira. Huu ni ujumbe mzuri kwa magamba.
Na bado ! Anae fuata sasa atakua ni wasira. Huu ni ujumbe mzuri kwa magamba.
kweli ndo faida ya kuwa kada wa chama.