Domy
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 4,700
- 1,086
Mkuu wa wilaya ya mbarali mkoani mbeya amenusurika kifo baada ya gari lake kupigwa mawe na kuchomwa matairi kwa kutumia misumari.
Balaa hilo limemkuta baada ya kutoa amri ya kufungwa kwa chuo cha uuguzi cha red cros kilichopo wilayani hapo kwa madai kwamba hakina usajili.
Baada ya kutoa amri hiyo na kuondoka wanafunzi walisimamisha gari na kuanza kumshambulia kwa mawe.
Mpaka sasa polisi inashikilia wanafunzi 32.
Source 1:E.born fm
2.niko mbeya
Balaa hilo limemkuta baada ya kutoa amri ya kufungwa kwa chuo cha uuguzi cha red cros kilichopo wilayani hapo kwa madai kwamba hakina usajili.
Baada ya kutoa amri hiyo na kuondoka wanafunzi walisimamisha gari na kuanza kumshambulia kwa mawe.
Mpaka sasa polisi inashikilia wanafunzi 32.
Source 1:E.born fm
2.niko mbeya