ile sheria ya mitandao imeanza kutumika?
raha la bata liliwasahaulisha.wote wana hereni kasoro yeye tuu kwanini, hawakumkumbusha kuvaa?
Ukibishana na mtu asiyejua Unaweza kujitafutia ugonjwa. DC - Kirefu Chake ni district Commissioner. Hilo neno KAMISHNA maana yake ni cheo kinachoteuliwa na Rais.
Si kila kitu Unaweza kukifanya ukiwa na cheo Chochote mahali popote na yeyote. kila Kazi Au cheo kina maadili na miiko yake. Haijalishi unapenda Au hupendi una wajibu wa kufuata na kutii.
Msilete interest binafsi kwenye interest za kutumikia umma. Kiongozi ni kioo kwa umma, kila afanyalo ina reflection yake kwa Jamii.
Looooh!!.............
Tuwekee picha mkuuMimi simlaumu huyu DC mana bado ni kijana sana, hata mimi ningepewa hicho bado ningeendelea kufanya mambo yangu ya ujana. Wakulaumiwa hapa ni mkuu wa kaya kuwabebesha watoto watoto wa watu majukumu makubwa. Rais wetu ni kiboko jamani, muangalieni mkuu wa mkoa wa mtwara ebwana asikuambie mtu ukiingia ofisini kwake utaomba usitoke, akikuangalia tu hivi unahisi anakuchekea, akisimama ageuke nyuma nakwambia huwezi kuinuka mana winchi itakuwa imeunika.
Tuwekee picha mkuu
kishkaji sana:
Mimi simlaumu huyu DC mana bado ni kijana sana, hata mimi ningepewa hicho bado ningeendelea kufanya mambo yangu ya ujana. Wakulaumiwa hapa ni mkuu wa kaya kuwabebesha watoto watoto wa watu majukumu makubwa. Rais wetu ni kiboko jamani, muangalieni mkuu wa mkoa wa mtwara ebwana asikuambie mtu ukiingia ofisini kwake utaomba usitoke, akikuangalia tu hivi unahisi anakuchekea, akisimama ageuke nyuma nakwambia huwezi kuinuka mana winchi itakuwa imeunika.
Huyo dada ni mkewe??
Demu lake linauza bar pale uhuru peak
Ati huyu ndo akasuluhishe migogoro ya Ardhi Kindondoni!!!Kuuza Nyago ndo kunamfaa kama hivi
ile sheria ya mitandao imeanza kutumika?
Na ile ya TV kujiunga na TBC kwenye taarifa ya habari?hii nchi viongozi wake wanatia kichefuchefu hasa Ridhiwani na January?wanataka tusiwe tunasema mabaya ya serikali.Wanataka tuwe ka Korea kaskaziniHaijulikani, inadaiwa itaanza kutumika "siku za usoni" lakini tarehe rasmi ya kuanza kutumika sheria hii kandamizi inafanywa siri.