DC Kihongosi: Wanaohoji mimi kuwachapa bakora Wafanyabiashara hawana hoja. Niliowachapa wamelipa sh 5,400,000.00 kama fidia

Mimi nakubaliana naye...kuchapa viboko siyo unyama...enzi za Nyerere watu walichapwa viboko wakati Fulani hasa baadhi ya Wala rushwa...Nyerere alisema unamchapa viboko mla rushwa wakati wa kuingia na wakati wa kutoka bill Shaka mahabusu au jela unamchapa Tena vingine I'll akamuonyeshe mke wake...
Upuuzi ilikuwa amri ya mahakama! Hata kama umepewa kacheo ndugu usijaribu huu upumbavu utakutana na mwamba ukuchambua hayo meno usiweze kujitetea popote! be ware miaka ya nyerere siyo hii
 
Hao watoto wanatakiwa kufungua kesi kwanini wamechapwa na huyu mwehu

Wafungue kesi ya abuse au violence

Kulipwa fidia sio ishu,kama ali indimidate wale watoto wakubali makosa na ukute hawajafanya tayari ni kosa

Kwanza ku-intimidate watoto chini ya miaka 18 na ku-extort 5mil from them tayari ni kosa

Huyu DC mwehu amedhibitishaje hawa watoto indeed wamefanya haya makosa kama mahakama haijatoa hukumu?

Yeye kavamia watoto by intimidation,kawachapa,kawalazimisha wakubali kitu ambacho labda hawajafanya na kalazimisha watoe hela

Sijui process ya mahakama ku-validate yote haya ipo wapi?

Wafungue kesi na wazazi wao wadai fidia,nk
Haraka sana nitakuwa wa kwanza kuchangia gharama za wanasheria! Kumbe ni huyu huyu alimtishia Zitto kifo?
 
Hoja sio kulipa fidia,

Wala swala la Uzalendo;

Hoja hapa ni kwa DC kuchapa viboko wananchi, jukumu ambalo hakutumwa alifanye.

Wakoloni wachape Babu zetu viboko ,

Viongozi wetu nao watuchape. Hapana.

DC aombe radhi. Huo ndio uungwana.
Aombe radhi ya nini
Kwani mpaka sasa kuna kiongozi mkubwa wake aliyemkemea kwa maamuzi yake hayo!
Jua tu katika awamu mambo kama hayo ni sawa ndomana mpaka sasa unaona kimya
Kwa hiyo mzee tuvumilie tu acha tunyooshwee

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Kenan Kihongosi leo amepokea fidia ya sh 5.4 milioni kutoka kwa wafanyabiashara wa chuma chakavu kama fidia ya vitu walivyouziwa na wanafunzi kinyume cha sheria.

Kihongosi amesema fedha hizo zitatumika kutengeneza madawati mapya.

Kadhalika DC Kihongosi amewaponda wanaomsakama mitandaoni kwa hatua yake ya kuwachapa bakora wafanyabiashara hao na kusema wanaolalamika hawana hoja ya msingi na siyo wazalendo kwa taifa letu.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Does this justify the corporal punishment he executed to them?
 
ILA HUYO DC ASIZOEE AKAFIKIRI WATU WOTE WATAKUBALI HIZO ADHABU ZAKE ZA KIJINGA. IPO SIKU ATAKUTANA NA WATU WA KANDA MAALUM WAMNYOOSHE.
 
Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Kenan Kihongosi leo amepokea fidia ya sh 5.4 milioni kutoka kwa wafanyabiashara wa chuma chakavu kama fidia ya vitu walivyouziwa na wanafunzi kinyume cha sheria.

Kihongosi amesema fedha hizo zitatumika kutengeneza madawati mapya.

Kadhalika DC Kihongosi amewaponda wanaomsakama mitandaoni kwa hatua yake ya kuwachapa bakora wafanyabiashara hao na kusema wanaolalamika hawana hoja ya msingi na siyo wazalendo kwa taifa letu.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Iko siku na yeye watamlamba mboko tena za magereza.
 
Kama umewachapa viboko, fidia ni ya Nini? Hiyo inaitwa double jeopardy. Viboko ni adhabu kwa kosa alilotenda na fidia ni adhabu ya kosa pia. Sasa kumpa mtu adhabu mbili kwa pamoja Bali ni kosa.
 
Upuuzi ilikuwa amri ya mahakama! Hata kama umepewa kacheo ndugu usijaribu huu upumbavu utakutana na mwamba ukuchambua hayo meno usiweze kujitetea popote! be ware miaka ya nyerere siyo hii
Wapinga maendeleo wote na wahujumu lazima wacharazwe Kwanza viboko/bakora halafu ndio Mambo mengine yafuatie...
 
Angefanya hivi mkoani mara hawa kwa wakurya angekiona cha moto.

Wamuulize bwana slow slow kule ziwani alikuwa akijidai kwenda usiku kufanya doria kilichomtokea anajua mwenyewe hadi kuacha udisiii
 
Upuuzi ilikuwa amri ya mahakama! Hata kama umepewa kacheo ndugu usijaribu huu upumbavu utakutana na mwamba ukuchambua hayo meno usiweze kujitetea popote! be ware miaka ya nyerere siyo hii
Nyerere aliwahi kuwatandika viboko au bakora viongozi wa mgomo pale chuo kikuu Cha Dar es Salaam miaka ya 1960 ambao waligoma kusiwepo na makato ya mishara kwa wafanyakazi na pia wakagomea wasiende JKT...wakasema utawala wa Mwalimu eti ni 'afadhali ya mkoloni"..Mwalimu Nyerere alikasirika Sana akawatafuta viongozi wa mgomo na kuwacharaza bakora...baadaye Nyerere akaandika kajitabu kadogo akijibu hoja ya kejeli ya "afadhali ya mkoloni"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom