connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 2,803
- 3,856
Hivi hawa ma-DC huwa hawapewi mafunzo/maadili kabla ya hizi teuzi? Show off Hizi zitawaponza. Mambo yako binafsi/familia unayaletaje Kwenye ofisi za Umma?
Hamna cha mafunzo, wewe uwe chawa aliyebobea TU!Hivi hawa ma-DC huwa hawapewi mafunzo/maadili kabla ya hizi teuzi? Show off Hizi zitawaponza. Mambo yako binafsi/familia unayaletaje Kwenye ofisi za Umma?
Ooh okHamna cha mafunzo, wewe uwe chawa aliyebobea TU!
Elon sawa na huyo wa Kibaha?Elon musk mwanae anachezea ikulu Kama kwao.
Tupunguze wivu
Kwani huyo wa kibaha sio mtu?Elon sawa na huyo wa Kibaha?
Kabisa mkuu.Suala la kiongozi kumpisha mtoto kiti halijaanza Kwa huyu DC,sasa Kwa mtoto wa kumzaa mbona easy tu 😂
Tofauti Yao n nn??Elon sawa na huyo wa Kibaha?
Kaka naiomba hii pichaUzungu wa kuiga
View attachment 3275943
It is not an issue, amekaa anatoa maamuzi? Au ametembelea ofisini kwa baba? Nikija na wanangu ofisini kwangu wakati nazurura nje nawapisha kwenye kiti wakae, sio big deal.Hivi hawa ma-DC huwa hawapewi mafunzo/maadili kabla ya hizi teuzi? Show off Hizi zitawaponza. Mambo yako binafsi/familia unayaletaje Kwenye ofisi za Umma?
Mbona umeshataja tofauti yao rangi na utajiriTofauti Yao n nn??
Zaidi ya rangi na utajiri
Hivi hawa ma-DC huwa hawapewi mafunzo/maadili kabla ya hizi teuzi? Show off Hizi zitawaponza. Mambo yako binafsi/familia unayaletaje Kwenye ofisi za Umma?
Sasa wewe lofa Una Hata kiti?It is not an issue, amekaa anatoa maamuzi? Au ametembelea ofisini kwa baba? Nikija na wanangu ofisini kwangu wakati nazurura nje nawapisha kwenye kiti wakae, sio big deal.