Mhe. awe anatanguliza kwa kusema Mungu akipenda namuunga mkono Rais Samia 2025.

Mhe. Rais akumbuke bado ana miaka takribani 4 ya kuongoza, itategemea nini amewafanyia Watanzania na pia akumbuke CCM ina wenyewe
Kweli miaka 4 ni mingi, kulikuwa hakuna haja ya kutangaza nia, lakini nadhani kipo kitu kinafukuta chini ya carpet akaona ni bora akizime mapema sana before it's too late, ngoja tuone !!
 
Jokate ana kiherehere, DC hutakiwi kutamka tamka hivi, kwani si kila mtu kasikia Mh. Rais kasema nn.
 
Yaani badala ya kuumiza kichwa kuondoa hizi tozo za kwenye miamala, Luku na nyinginezo nyie mko bize na urais wa 2025. So far hakuna legacy yeyote ambayo wananchi wanaweza kuona for the past 6 months...
 
Shame on her ubaya wa viongozi wa kiafrica wanawaza uchaguzi na madaraka na kusahau kudeal na challenge zinazowakabiri wananchi hivi kweliii leo 2021 unawaza uchaguzi wa 2025 kweliii
Alafu amesahau kuwa pumzi tunapewa kwa kudra badala ya hata aombe uzima Sasa hiyo pumzi mwenye nayo akiichukua asisahau Kuna kulala akaamka na kunakulala yoooo
 
"NAMUUNGA MKONO MAMA 2025"

"Ni kweli kabisa 2025 ni mwaka wa kumuweka Rais Mwanamke Ikulu, ni wakati sasa wa Wanawake wote kuungana na kutumia fursa hii kufanikisha hili na kuendelea kuandika historia Tanzania, naamini Wanaume pia watatuunga mkono maana nia ya Mama kulitumikia Taifa letu wote tumeiona.

Lakini pia kwa kutambua wanawake tumefanya kazi kubwa kuleta uhuru wa Nchi yetu, kujenga siasa za Nchi yetu. Na pia Kama Mhe Rais alivyosema tumekuwa chachu nyuma ya wanaume wengi kupata vyeo vya juu.

Ni wakati wetu sasa!

Namuunga mkono Mama, 2025 twende na Mama." - Ameandika Mkuu wa Wilaya ya Temeke Mhe Jokate Mwegelo kwenye ukurasa wake Rasmi wa twitter

View attachment 1938991
View attachment 1939040
Kwani uchawa unataka vyeti basi??????
 
Kama 2025 ndo anawekwa Rais mwanamke, Mbona hatukuambiwa mapema kuwa Rais aliyepo sasa ni wa mpito?
 
"NAMUUNGA MKONO MAMA 2025"

"Ni kweli kabisa 2025 ni mwaka wa kumuweka Rais Mwanamke Ikulu, ni wakati sasa wa Wanawake wote kuungana na kutumia fursa hii kufanikisha hili na kuendelea kuandika historia Tanzania, naamini Wanaume pia watatuunga mkono maana nia ya Mama kulitumikia Taifa letu wote tumeiona.

Lakini pia kwa kutambua wanawake tumefanya kazi kubwa kuleta uhuru wa Nchi yetu, kujenga siasa za Nchi yetu. Na pia Kama Mhe Rais alivyosema tumekuwa chachu nyuma ya wanaume wengi kupata vyeo vya juu.

Ni wakati wetu sasa!

Namuunga mkono Mama, 2025 twende na Mama." - Ameandika Mkuu wa Wilaya ya Temeke Mhe Jokate Mwegelo kwenye ukurasa wake Rasmi wa twitter

View attachment 1938991
View attachment 1939040
Samia mwaka 2025 ndio ataanza awamu yake ya kwanza ya vipindi viwili, yaani mpk mwaka 2035
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Ili nchi iendelee inahitaji watu, ardhi, siasa safi na uongozi bora. Uongozi bora ndio tunachokosa Tanzania 🇹🇿
 
Back
Top Bottom