mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,586
- 8,217
Kweli miaka 4 ni mingi, kulikuwa hakuna haja ya kutangaza nia, lakini nadhani kipo kitu kinafukuta chini ya carpet akaona ni bora akizime mapema sana before it's too late, ngoja tuone !!Mhe. awe anatanguliza kwa kusema Mungu akipenda namuunga mkono Rais Samia 2025.
Mhe. Rais akumbuke bado ana miaka takribani 4 ya kuongoza, itategemea nini amewafanyia Watanzania na pia akumbuke CCM ina wenyewe