Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,072
- 173,780
Mzee baba yale maisha ukikaa hata miezi 6 tu katika cheo hiko lazma udate mzee! Ushawahi kuwaza siku moja kila mtu anakupigia saluti unaamua kula unachotaka, unavalishwa suit mpya daily hurudiagi nguo, unapiga madini tu non stop, access ya billions of money in a few clicks tu!Wameshaamua kutangaza nia mapemma hivi, biimkubwa nae ana uchu wa madaraka, kuna haja gani ya haya? Wakati ukifika itajulikana
Huulizwi utambulisho popote uendapo iwe ndani au nje ya nchi yani unaishi kama malaika flani unaetetemekewa na wote wanaokuzunguka😅! Na ukifika unapewa first class treatments
Watu wanakuja na offer zao tu za pesa ambazo uliwahi kuziona kwenye movie tu. Wakitaka access ya kufanya biashara zao! Boss tunakutilia $50m kwa account turuhusu tu invest sector flani!
Ushafikiria hilo? Mpaka ilifikia mahali kuna mtu akasema “Mie hata sielewi kwanini watanzania ni masikini”