cosmonaut
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 1,392
- 2,749
Itakuwa anataka kuwa mama DC.....Huyo mke anaeng'ang'ania ndoa kisa ya kanisani hajielewi. Ndoa sio makaratasi. Kama hawaishi wote,hakuna mapenzi. Hapo hakuna ndoa tena. Ila wajaluo nao wa kuoa wake wengi hawajambo.