Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,133
- 56,576
Unaambiwa hapo alipo anaishi na mwanamke mwingine. Labda akifanikiwa kawapa hawa wawili talaka ndo atafunga ndoa nyingine na huyo anaeishi nae kwa sasa.Mkuu kwa mantiki ya maelezo ni kwamba, baada ya kushindwana ndiyo akaoa mke mwingine bomani ambaye naye wameshindwana pia.
Kwa maelezo ya mdai talaka na maswali ya mdaiwa, yananivuta kuwa upande wa dc.