Hayo mengine tusimuhusishe sana Mungu, kwa sababu inaonesha kwa maelezo ya hapo mahakamani, huyo mwanamke ni maruhuni na kuna mtu kamkochi ujinga.
Point hapo ni kwamba, hawa viongozi wanatakiwa kuwa kioo cha jamii.
Hatakiwi kuonesha missbehave ya aina yoyote ile ama dalili, ama kuhisiwa tu.
Hii kesi inatafsiri mbovu sana kwa huyo dc, tafsiri ya kushindwa kuicontrol familia yake.
Mtu anayeshindwa kuongoza vizuri familia yake ambayo ni kikundi kidogo cha watu, je kundi kubwa la kijamii kama wilaya?
Huyo moja kwa moja kajinyang'anya sifa mwenyewe na hastahili kupewa uongozi hata wa kitongoji.
Watu wa maadali ama mwajiri wake, waliangalie hili, ili hatua madhubuti za kimaadili zichukuliwe mapema dhidi yake,hata kabla kesi hii haijafikia ukomo.
Kwenye kada ya uongozi hafai hata kulumangila, aondolewe akafanye kazi nyingine.