fortunate_goustone
Senior Member
- May 5, 2013
- 113
- 26
Una sifa kabisa zoote ila angalia qualification za kozi husika!Ndugu zangu wana jf mie nimehitimu kidato cha sita mwaka Jana nimesoma PCB nikapata phy d Chem b na bios b+
Nimeanza kuapply nilipofika validation wakanibia not passed kwa upande Wa A level? Msaada jamani