DBB+ Nimeambiwa Sina sifa

DBB+ Nimeambiwa Sina sifa

huu mfumo wa GPA unachanganya sana hapo sina hakika kama umefaulu au laa. Kuna mtu alileta uzi mwaka jana kapa BBB lakını kakosa udaktari
Wamenibadilishia kutoka matokeo halisi ya mwaka Jana yani
PHY D CHEM B BIOS B+ Kwenda PHY F CHEM D BIOS C
 
Wamenibadilishia kutoka matokeo halisi ya mwaka Jana yani
PHY D CHEM B BIOS B+ Kwenda PHY F CHEM D BIOS C

Aisee kumbe D ya mwaka jana ni sawa na F ya zamani?? kwani mkuu unataka kusomeanini?
 
Kwa matokeo hayo sifa unazo kulingana na guidelines za TCU

Sasa sijui shida ni nini.Labda system failure
 
hizo wanakuchukua vizuri tu aplly kwa makini ucweke vyuo vyenye competition
 
Kozi yoyote Mkuu ya sayans
Kuja Jf tu basi wewe una akili tosha za kujua nini ufanye, TCU kwenye website yao kuna Contacts zao, sifa unazo na hilo uhakika.
Huo ufaulu wako utumie sasa sio nifanyeje, tumia hilo bongo lako.
 
Kuja Jf tu basi wewe una akili tosha za kujua nini ufanye, TCU kwenye website yao kuna Contacts zao, sifa unazo na hilo uhakika.
Huo ufaulu wako utumie sasa sio nifanyeje, tumia hilo bongo lako.
Hawapatikani mkuu
 
itakua system aaijakaa sawa ikigoma kabisa wapigie tcu contacts zao zipo cas.tcu.go.tz
 
Back
Top Bottom