DBB+ Nimeambiwa Sina sifa

DBB+ Nimeambiwa Sina sifa

sir doctor

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2016
Posts
291
Reaction score
66
Ndugu zangu wana jf mie nimehitimu kidato cha sita mwaka Jana nimesoma PCB nikapata phy d Chem b na bios b+
Nimeanza kuapply nilipofika validation wakanibia not passed kwa upande Wa A level? Msaada jamani
 
Hizo si zile maksi za ufaulu alioukataa Prof. Ndalichako?
Tafuta kitu saizi yako. Wacha kung'ang'ania course. Utaumia !!
Ati b+ ndo nini? Continuous assesment au ufaulu wa necta?
 
Hivi 2Cs ni point nne au sita? Naona thread yako umeileta kama Joke hapa JF haiwezekani upate 2Bs then ukose chuo. 2Bs ni mara mbili ya minimum requirement zinazotakiwa na TCU.
Nimemaliza mwaka jana
 
Hajafaulu hapo kk.. Hizo marks za mwaka jana ndugu wala usijisumbue kama ulipangwa chuo mwaka jana ukazingua ndo imetoka hyo.. Nenda diploma
 
huu mfumo wa GPA unachanganya sana hapo sina hakika kama umefaulu au laa. Kuna mtu alileta uzi mwaka jana kapa BBB lakını kakosa udaktari
 
Back
Top Bottom