sir doctor
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 291
- 66
Ndugu zangu wana jf mie nimehitimu kidato cha sita mwaka Jana nimesoma PCB nikapata phy d Chem b na bios b+
Nimeanza kuapply nilipofika validation wakanibia not passed kwa upande Wa A level? Msaada jamani
Nimeanza kuapply nilipofika validation wakanibia not passed kwa upande Wa A level? Msaada jamani