Mars Rover
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 338
- 140
Kama una tatizo lolote na HTC smartphone tujuze tukusaidie
hilo tatizo mara kwa mara kutokana na design yake ya aluminium unibody ambayo inazuia simu hii kupitisha joto hivyo kusababisha overheating issue ambayo baadae hupelekea kufeli kwa parts mbali mbali kuanzia battery na baadae performance...Cool natumia HTC ONE M7 TATIZO HAIKAI KABISA NA CHAJI NAOMNA MSAADA please
Inabadilishika mkuu ukipata betri yake nenda kwa fundi mtaalamu atakubadilishia.. Inawezekana kabisaSo mkuu simu hii inaweza kufunguliwa na kubadilishwa hii battery? Maana battery yake ni built-in, na haifunguki
Mi nina HTC one s tatizo nikiangalia video youtube baada ya muda mfupi cm inazima yenyewe na chaji ipo yakutosha tu.
mie htc desire kuna application zinagoma ku download hata sielewi
Hii itakua software issue cha kufanya jaribu update YouTube App, ikigoma basi fanya factory reset kupitia recovery ya simu yako..
Utazima simu, then utashikilia Volume Down+Power Button.. Hii itakupeleka kwenye Bootloader ambayo nu screen nyeupe itakua ni details kama Code Name ya simu yako (One S ni VILLE)
Kwenye Bootloader utashuka chini kwa kutumia Volume Down button then Select Recovery kwa kutumia Power button (Hakikisha umefanya backup ya kila kitu kabla ya kufanya hard reset)
mimi htc yangu mwez wa 5 sasa ipo katika aeroplane mode, nmejaribu almost kla kitu inakataa kutoka..na imefanya network kuwa off..km kuna la kunisaidia hapo nitashukuru
Cool natumia HTC ONE M7 TATIZO HAIKAI KABISA NA CHAJI NAOMNA MSAADA please
Nisaidie alternative way ya ku-unlock bootloader ukiachana na htc devKama una tatizo lolote na HTC smartphone tujuze tukusaidie
Nisaidie alternative way ya ku-unlock bootloader ukiachana na htc dev
kaka mkubwa ninatumia HTC ONe X,... ina tatizo la ku overheat, alafu inazima sometimes, shida ni nini na ufumbuzi wake
Me yangu ina over heat,je ntapata wapi charger yake?huwa nachaj kwa Laptop naambiwa inaua betri
Htc one x bei yake ikoje