Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,596
- 45,225
Nyinyi watu wa maji DAWASA nimeripoti tatizo langu la kukosa maji naona mpo mpo tuu na majibu yenu yasoeleweka, wiki ya pili hii sina maji kwangu bomba lenu limepasuka sijui mmefanyaje wenyewe mimi sipati maji wengine wanapata huduma kama kawaida.
Aisee msianze ukiritimba wenu na mambo ya kizamani ya kutaka hongo wakati mnatakiwa kutimiza wajibu wenu kama mimi ninavyotimiza wajibu wangu wa kulipa bills, huduma kwa wateja yenu mbovu wadada wanajibu hovyo sijui hamjawalipa na hii 0736 451 867 linamba lenu halipatikani tangu juzi... watu mnalala tuu😏😏.
Kuweni serious na kazi kama hamna watenda kazi ajirini vijana wapo wengi tuu kitaa.
Aisee msianze ukiritimba wenu na mambo ya kizamani ya kutaka hongo wakati mnatakiwa kutimiza wajibu wenu kama mimi ninavyotimiza wajibu wangu wa kulipa bills, huduma kwa wateja yenu mbovu wadada wanajibu hovyo sijui hamjawalipa na hii 0736 451 867 linamba lenu halipatikani tangu juzi... watu mnalala tuu😏😏.
Kuweni serious na kazi kama hamna watenda kazi ajirini vijana wapo wengi tuu kitaa.