Toosweet
JF-Expert Member
- May 27, 2012
- 2,140
- 1,983
JF Kwenu,
Baada ya kupimwa mkojo, mfanyabiashara Yusuph Manji alibainika kutumia dawa aina ya Benzodiazepine, mchanganyiko wa Benzine na Diazepine(Benzine ring fusion with Dazepine)
Kitabibu, hii ni dawa inayotibu matatizo mbalimbali ambayo yanahusiana na afya ya akili. Dawa hii haitolewi bila idhini ya daktari na hivyo iko kwenye utaratibu wa prescription only medication. Inaweza kuwa na madhara yasiyotarajiwa(side effects) hivyo inahitaji uangalifu.
Dawa hii hutumia jina la biashara(brand name) la Activan. Jina lingine ni Lorazepam. Inatibu hofu isiyo bayana(anxiety disorder),kutopata usingizi(trouble sleeping),kifafa ambacho hakijakomaa(status epilepticus),watu wanaoacha ulevi(alcohol withdrawal),kupata hofu kwa vitu fulani tu(specific phobia),kutaharuki mapema na kwa urahisi(panic disorder),kuwa na aibu maeneo fulani au katika hadhira fulani(selective mutism).
Anxiety is a worry about future events-hofu kwa mambo yajayo, fear is worry about current events, hofu kwa mambo ya sasa.
Orodha ya matatizo yanayotibiwa na "dawa za kulevya za Manji" ni ndefu,nimejaribu kutaja kwa uchache na kutafsiri matatizo hayo ingawa inawezekana nisiwe sahihi kwa asilimia 100.
Pengine kinachowindwa na mateja katika Lorazepam ni matokeo/madhara ya muda mfupi ya dawa ambayo ni kulewa(sedation/sleepiness) na dizziness (kizunguzungu).
Sijui kama Yusuph Manji aliandikiwa dawa hizo au aliamua kujipa uraibu kwa bei rahisi. Kama aliandikiwa na daktari wake, inabidi daktari huyo afike mahakamani kutoa ushahidi.
Benzodiazepine sio "unga".
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya kupimwa mkojo, mfanyabiashara Yusuph Manji alibainika kutumia dawa aina ya Benzodiazepine, mchanganyiko wa Benzine na Diazepine(Benzine ring fusion with Dazepine)
Kitabibu, hii ni dawa inayotibu matatizo mbalimbali ambayo yanahusiana na afya ya akili. Dawa hii haitolewi bila idhini ya daktari na hivyo iko kwenye utaratibu wa prescription only medication. Inaweza kuwa na madhara yasiyotarajiwa(side effects) hivyo inahitaji uangalifu.
Dawa hii hutumia jina la biashara(brand name) la Activan. Jina lingine ni Lorazepam. Inatibu hofu isiyo bayana(anxiety disorder),kutopata usingizi(trouble sleeping),kifafa ambacho hakijakomaa(status epilepticus),watu wanaoacha ulevi(alcohol withdrawal),kupata hofu kwa vitu fulani tu(specific phobia),kutaharuki mapema na kwa urahisi(panic disorder),kuwa na aibu maeneo fulani au katika hadhira fulani(selective mutism).
Anxiety is a worry about future events-hofu kwa mambo yajayo, fear is worry about current events, hofu kwa mambo ya sasa.
Orodha ya matatizo yanayotibiwa na "dawa za kulevya za Manji" ni ndefu,nimejaribu kutaja kwa uchache na kutafsiri matatizo hayo ingawa inawezekana nisiwe sahihi kwa asilimia 100.
Pengine kinachowindwa na mateja katika Lorazepam ni matokeo/madhara ya muda mfupi ya dawa ambayo ni kulewa(sedation/sleepiness) na dizziness (kizunguzungu).
Sijui kama Yusuph Manji aliandikiwa dawa hizo au aliamua kujipa uraibu kwa bei rahisi. Kama aliandikiwa na daktari wake, inabidi daktari huyo afike mahakamani kutoa ushahidi.
Benzodiazepine sio "unga".
Sent using Jamii Forums mobile app