"Dawa za Kulevya"za Manji si Dawa za Kulevya

"Dawa za Kulevya"za Manji si Dawa za Kulevya

Taarifa ya habari I TV, leo wamesema mkemia mkuu amekuta traces za morphine, hii ina maana gani. ?
hii huwa wanapewa wale wagonjwa waliofanyiwa operationnukiwa mdogo au mkubwa ili wapate kupumzika. Ila ina stimu kweli hiyo
 
Benzodiezepines zinaendana na matumizi ya morphine....halafu huwezi kutumia benzodiezipines bila kuandikiwa na daktari....

Hakuna chaka la kihalifu litakaloachwa ...yote lazima yachomwe.

Najua kwa nini chadema inatetea wala ngada...NI SIRI YANGU
Hilo jina lako linakusibu kweli, kumbe unajijua.
Ikisha usiwe na haraka akifeli kuleta shahidi wake daktari aliemruhusu ndio umhukumu
 
In 1977 benzodiazepines were globally the most prescribed medications.Benzodiazepines enhance the effect of the neurotransmitter gamma-aminobutyric acid (GABA) at the GABAAreceptor, resulting in sedative, hypnotic (sleep-inducing), anxiolytic (anti-anxiety), anticonvulsant, and muscle relaxant properties.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
magufuli anamuandama Manji kwa hisia tu kua ni rafiki wa Lowasa tangu Lowasa akiwa ccm kwahiyo anahisi urafiki bado upo ! Huyu mtu ni mkurupukaji tu,mwisho ataaibika vilivyo.Mungu sichoki kuomba aabike mpaka kuku mitaani wamkimbie wakimzomea.asante kwakua aibu yake itatokana na mengi mno kwa ajili ya uovu wake dhidi ya jamii asante naachilia Haya mikononi mwako,Amen.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taarifa ya habari I TV, leo wamesema mkemia mkuu amekuta traces za morphine, hii ina maana gani. ?
Morphine ni dawa ya maumivu makali. Wanapewa wagonjwa wa cancer.Askari wa Marekani wanatumia uwanja wa vita.
Hii ndio JF tunayoitaka.
Critical Thinking.
Mleta mada umeandika kwa Umakini, Usahihi na Ufasaha.
Nimevutiwa na ufafanuzi wako.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
In 1977 benzodiazepines were globally the most prescribed medications.Benzodiazepines enhance the effect of the neurotransmitter gamma-aminobutyric acid (GABA) at the GABAAreceptor, resulting in sedative, hypnotic (sleep-inducing), anxiolytic (anti-anxiety), anticonvulsant, and muscle relaxant properties.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ina ujomba na Gabapentin?
Unadhani threshold levels za benzodiezipines kwenye tiba ni sawa na zile za kutumiwa kwenye ngada?

Tatizo mnataka kushindana na sayansi wakati mmesomea sanaa!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
JF Kwenu,



Dawa hii hutumia jina la biashara(brand name) la Activan. Jina lingine ni Lorazepam.

Sent using Jamii Forums mobile app

Actually benzodiazepines sio dawa moja ni group la dawa kama unavyosema antibiotics hatuna dawa inayoitwa antibiotics ila ni kundi linalohusisha dawa mbalimbali...
The most common used and sometimes abused benzodiazepine ni diazepam au Valium kwa jina la biashara...
Na Valium watu wanaandikiwa mara nying tu na kwa matokeo haya ya mkemia wa serikali Manji anaenda kushinda hii kesi mchana kweupeeee...
Kama mkemia angesema sample ilikuwa na cocaine au heroin manji asingekua na kwa kutokea coz nchi hii hata hospital hatutumii heroin yy angejitetea ameitoa wap na anatumia kwa indication ipi!? Lkn kwa Valium zipo mtaani na hata uwezo wa kutengeneza ugonjwa wa kuruhusiwa kutumia Valium inawezekana kabisa hvyo nampa manji 80-90% ya kishinda hili shauri
 
Manji hana kesi Ila USISIEMU wake ndio unaomponza, kwakua chanzo cha mateso yoote nichuki na kisasi cha mkulu.
Alihaidi watu aina ya manji wataishi kama mashetani ,kwakudai kuwa walikuwa wakiishi kama malaika.
Nichuki tu za kisiasa hakuna asiejua.
Ngoja tuendelee kushuhudia Hii ngoma ya kisukuma itaishia wapi.

Umenena vyema mkuu, na hizi chuki za kisiasa ni sawa kula nyama ya mtu, hii kitu itaendelea hata baada ya yeye kuondoka, kwa vile ana kinga ila ndg zake watapata taabu sana, dotto william ataishia sero, bora huyu dogo aachane na mjombake maana atankosti mbeleni na kujuta atakuwa too late, ila nina hofu pia katiba inaweza badilishwa ili na yeye wa mfix akanyee ndoo. Visasi visasi visasi
 
Kuna dawa za kuandikiwa na doctor ambazo ukitumia ukapimwa, zina ingredients ambazo zimo kwenye madawa ya kulevya kama heroin.

Hapo Manji anachotakiwa ni uthibitisho tu toka kwa doctor kuwa aliandikiwa hizo dawa. Pia kama alizinunua.

Akithibitisha hayo hakuna kesi ya madawa ya kulevya hapo. Kesi ingekuwepo kama wangemkamata nayo.
 
Mungu akubariki sana kwa andiko hili , umeandika ukweli kwa 99% ( nazifahamu dawa hizo kutoka darasani ) , tumhukumu Manji kwa ubaya wake lakini asionewe kwa kukomolewa .
Haswa. Kuna kitu sijakielewa,unijuze. Watumia madawa wengi wanapobainika,nimeona wakipelekwa vituo maalumu vya tiba au ushauri. Nini tofauti ya huyu "kama ni mtumiaji kweli" kupelekwa kwa court hadi kunyimwa dhamana,na wale watumiaji wengine?na ambao wapo vituo maalumu?
 
wanatumia kodi zetu kipumbavu sana,wafujaji wakubwa wa pesa zetu watanzania.ukihoji utasikia wewe sio mzalendo unatetea mafisadi.hahahaaaaa. poor we zee.vikesi havina kichwa wala miguu yani na kesho mapema anachiwa
Na atafungua madai ya kutiwa hasara na tutamlipa. Hapo ndo kodi yetu itachezewa. Tatizo haturuhusiwi kusema makosa yake hadharani
 
Hii kasi haikustahili. Niliiona tokea mwanzo. Hivi ni visa tu vya kibiashara, siasa na maisha binafsi. Manji ninayemfahamu mimi hatumii wala kufanya biashara ya madawa.
Nenda mahakamani ukatoe ushaidi
 
Nimeicheki kwe taarifa ya habari nikajisemea moyoni kuwa kumfunga Tajiri kwa kosa alilojitendea mwenyewe ni ngumu sana. Alafu manji kajiachia kama Sadaam Hussein rais wa Kuwait.
Kweli kabisa mkuu. Wakati Sadam Hussein alikuwa kama Manji
 
Haswa. Kuna kitu sijakielewa,unijuze. Watumia madawa wengi wanapobainika,nimeona wakipelekwa vituo maalumu vya tiba au ushauri. Nini tofauti ya huyu "kama ni mtumiaji kweli" kupelekwa kwa court hadi kunyimwa dhamana,na wale watumiaji wengine?na ambao wapo vituo maalumu?
Ha! Ha! Ha!
 
Taarifa ya habari I TV, leo wamesema mkemia mkuu amekuta traces za morphine, hii ina maana gani. ?
Hata kama mkemia mkuu anaaminika , lakini mbona morphine inatumika Muhimbili kila siku ?
 
Actually benzodiazepines sio dawa moja ni group la dawa kama unavyosema antibiotics hatuna dawa inayoitwa antibiotics ila ni kundi linalohusisha dawa mbalimbali...
The most common used and sometimes abused benzodiazepine ni diazepam au Valium kwa jina la biashara...
Na Valium watu wanaandikiwa mara nying tu na kwa matokeo haya ya mkemia wa serikali Manji anaenda kushinda hii kesi mchana kweupeeee...
Kama mkemia angesema sample ilikuwa na cocaine au heroin manji asingekua na kwa kutokea coz nchi hii hata hospital hatutumii heroin yy angejitetea ameitoa wap na anatumia kwa indication ipi!? Lkn kwa Valium zipo mtaani na hata uwezo wa kutengeneza ugonjwa wa kuruhusiwa kutumia Valium inawezekana kabisa hvyo nampa manji 80-90% ya kishinda hili shauri
Ahsante kwa shule MD.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom