Dawa za kichina zimeniharibia nyeti zangu za kike!

Nadhani ukupata elimu jinsi ya kutunza uke wako. kulegea kwa uke inatokana na kulegea kwa misuli yake hivyo kuna mazoezi yakurudisha uke katika hali yake ya kawaida au zaidi iwe mnato.

Unahitaji kupatiwa elimu hiyo. Na ninawashauri wengine wasijaribu kufanya kama wewe. Wachina watawamaliza
 
akamwone Daktari wa magonjwa ya wanawake, angebaki kama alivyo tu, mbona wapo wanaume wenye EXTRA LARGE? hao wangemfaa, kajiharibu bure masikini.
 
tafuta mafuta ya k 1 kitu kitapita tu lazima wachina noma kweli au ulizidisha dozi
 
Ah mpe pole kwa kukosa ushauri mzuri tangu mwanzo!

Yafaa aende hospitali sasa manake hali sio hali!
 
Jamani eeh, huyu dada anaomba msaada wenu; amelikoroga!

*****************************************************


Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 32. Nimekuwa nikikimbiwa na wapenzi zaidi ya mara 5 wakisema kwamba nina maumbile mapana!



Nilikutana na rafiki yangu wa kike na alinishauri nitumie asali lakini haikusaidia! Ndipo nikaona bora nitumie dawa za mchina! Matokeo yake sasa 'nyeti' zangu zimekuwa ndogo kuliko kawaida kiasi cha kwamba haziruhusu kitu kingine kuingia!



Njia imeziba na ile sehemu imepoteza kabisa sura yake! Nipo njia panda kwani sasa sina pa kukimbilia! Nimejaribu lakini hairuhusu kitu kuingia ndani. Nyeti zangu zimeharibika jamani!



Naombeni mnisaidie kama kuna namna ya kuzirejesha kama zamani! Dawa za mchina zimeniponza mwenzenu!

Kwani ikiwa pana nawe si utampata mwenye nene?? Ulifanya haraka tu. Do not fight nature, when it fights against you, you are finished!!!

Kuna yule wa Mbezi Beach ambaye uume wake ulikuwa mdogo, alipopata dose ya kichina ukanenepa na unaendelea kunenepa na by a week ago ulishafikia kilo 9!!! Halafu, madhara ya dawa hizi ni kuwa no remedial!!!!

Marehemu Michael Jackson alipoongea na mzee Nelson Mandela alikiri kujutia kufanya platic surgery kwani alipoteza identity yake physically na hawezi kuirudisha tena na kuwa ilimgharimu sana si kipesa bali kiafya. It was true, it costed his life!!!! Sad!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom