Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
Dawa ya Sukari (Diabetes)
Sheikh Saleh Mohammed Tuwaijiri (May Protection of Allah be on him), Qadhi Mkuu wa korti ya Tabuk kafanya uchunguzi mkubwa kwa kuvumilivu na kwa subira kubwa mpaka kupata hii dawa ya magonjwa ya sukari.
Siku hizi watu wengi khususan watu wazima, wanaume na wanawake wanataabika sana kwajili ya ugonjwa wa sukari.
Ingredients:
1 Unga wa ngano 100 gm
2 Gundi (umefanan na ubani wa kiarabu lakini hauna harufu) 100 gm
3 - Shaair 100 gm
4 - Habba Soda 100 gm
Namna ya kutengeneza
Chemsha hivyo vitu juu katika vikombe 5 vya maji kwa muda wa dakika 10. Zima moto na wacha ipowe. Ikisha kupowa chuja na utie katika chupa.
Utumizi
Kunywa kikombe kidogo kila siku asubuhi kabla ya kula chochote kwa muda wa siku 7.Wiki ya pili kunywa siku moja na uwache siku moja. Insha-Allah baad hizi wiki mbili utapona na utaweza kula chakula kama dasturi.Sheikh anaomba muwapelekee wenzune wapate na wao kunufaika.Insha Allah Allah atajaalia iwe dawa kwa kila mwenye haya maradhi. Aameen.Kwa hisani zenu musiwasahau kwenye dua zenu Sheikh, alieye tarjum kwa Kiswahili na kila anaye ipeleka mbele.
Sheikh Saleh Mohammed Tuwaijiri (May Protection of Allah be on him), Qadhi Mkuu wa korti ya Tabuk kafanya uchunguzi mkubwa kwa kuvumilivu na kwa subira kubwa mpaka kupata hii dawa ya magonjwa ya sukari.
Siku hizi watu wengi khususan watu wazima, wanaume na wanawake wanataabika sana kwajili ya ugonjwa wa sukari.
Ingredients:
1 Unga wa ngano 100 gm
2 Gundi (umefanan na ubani wa kiarabu lakini hauna harufu) 100 gm
3 - Shaair 100 gm
4 - Habba Soda 100 gm
Namna ya kutengeneza
Chemsha hivyo vitu juu katika vikombe 5 vya maji kwa muda wa dakika 10. Zima moto na wacha ipowe. Ikisha kupowa chuja na utie katika chupa.
Utumizi
Kunywa kikombe kidogo kila siku asubuhi kabla ya kula chochote kwa muda wa siku 7.Wiki ya pili kunywa siku moja na uwache siku moja. Insha-Allah baad hizi wiki mbili utapona na utaweza kula chakula kama dasturi.Sheikh anaomba muwapelekee wenzune wapate na wao kunufaika.Insha Allah Allah atajaalia iwe dawa kwa kila mwenye haya maradhi. Aameen.Kwa hisani zenu musiwasahau kwenye dua zenu Sheikh, alieye tarjum kwa Kiswahili na kila anaye ipeleka mbele.