Msaada dawa ya kushusha sukari (Home Remedy)...!!

donlucchese

JF-Expert Member
Mar 23, 2011
17,047
21,523
Habari wakuu l,

Kama kichwa kinavyosema hapo juu. Miaka mitatu iliyopita siku moja nikiwa naangalia TV sebuleni nilijikuta Nina blurred vision, kwenda kuchek zahanati nikakutwa Nina sukari.

Nilipewa dawa za kutumia hospital lakini kuna dawa za asili nilitumia mwishowe tatizo likatoweka halikunitokea tena na uzuri nikanunua mashine ya kupika glucose nyumbani nikawa nachek mara kwa mara. Sasa juzi niliona Dalili za kukojoa mara kwa mara, na vision inakua blurred.

From experience naona NI sugar level Itakua imepanda na bahati mbaya nilikua nimekuja kwenye msiba wa mama yangu mzazi so mashine nimeicha nyumbani. Hivyo naomba wakuu kwenye wazoefu au maarifa ya hii changamoto, wanisaidie ni jinsi gani ninaweza kuirudisha normal levels nikiwa nyumbani kabla ya kwenda zahanati.

Asanteni
 
Mkuu kwa hapa kupata dawa ya kienyeji ni ngumu wamejaa matapeli hapa ni Bora ukarudi pale ulipopata hiyo dawa ya asali . Cha kufanya punguza wanga , mpaka urudi
 
Habari wakuu l,

Kama kichwa kinavyosema hapo juu. Miaka mitatu iliyopita siku moja nikiwa naangalia TV sebuleni nilijikuta Nina blurred vision, kwenda kuchek zahanati nikakutwa Nina sukari.

Nilipewa dawa za kutumia hospital lakini kuna dawa za asili nilitumia mwishowe tatizo likatoweka halikunitokea tena na uzuri nikanunua mashine ya kupika glucose nyumbani nikawa nachek mara kwa mara. Sasa juzi niliona Dalili za kukojoa mara kwa mara, na vision inakua blurred.

From experience naona NI sugar level Itakua imepanda na bahati mbaya nilikua nimekuja kwenye msiba wa mama yangu mzazi so mashine nimeicha nyumbani. Hivyo naomba wakuu kwenye wazoefu au maarifa ya hii changamoto, wanisaidie ni jinsi gani ninaweza kuirudisha normal levels nikiwa nyumbani kabla ya kwenda zahanati.

Asanteni

Dawa rahisi ya kuweza kukutibia tatizo hili la kisukari ndani ya siku
tatu tu ni kufuata utaratibu wa kula kama ifuatavyo:
1) Usile vyakula na kunywa vinywaji vilivyotengenezwa kiwandani
2) Usile vyakula vilivyotengenezwa kwa ngano
3) Usile chakula baada ya saa 2 usiku
4) Kula matunda kabla ya mlo wowote, yaani kwenye tumbo tupu, na hasa asubuhi kabla ya mlo wowote
5) Kunywa maji vuguvugu, kama unaweza ya moto, asubuhi kabla ya kupiga mswaki.

Jambo la msingi ni kuacha kabisa kutumia hizo dawa za kisukari na ufuate kwa uaminifu utaratibu huo wa kula kwa wiki 3 hadi mwezi moja najua utakuja kunishukuru baadae. Hata kama umehangaishwa na tatizo hili kwa miaka mingi kiasi gani njia hiyo itakutoa utumwani kabisa na kukuweka huru.

Kila la kheri
 
Dawa rahisi ya kuweza kukutibia tatizo hili la kisukari ndani ya siku
tatu tu ni kufuata utaratibu wa kula kama ifuatavyo:
1) Usile vyakula na kunywa vinywaji vilivyotengenezwa kiwandani
2) Usile vyakula vilivyotengenezwa kwa ngano
3) Usile chakula baada ya saa 2 usiku
4) Kula matunda kabla ya mlo wowote, yaani kwenye tumbo tupu, na hasa asubuhi kabla ya mlo wowote
5) Kunywa maji vuguvugu, kama unaweza ya moto, asubuhi kabla ya kupiga mswaki.

Jambo la msingi ni kuacha kabisa kutumia hizo dawa za kisukari na ufuate kwa uaminifu utaratibu huo wa kula kwa wiki 3 hadi mwezi moja najua utakuja kunishukuru baadae. Hata kama umehangaishwa na tatizo hili kwa miaka mingi kiasi gani njia hiyo itakutoa utumwani kabisa na kukuweka huru.

Kila la kheri
sawa ndugu hiyo mbinu itatuliza lakin siyo kutibu ugonjwa maana hapo sukar itashulka bt ugonjwa upo pale pale.
Naongezea afanye mazoezi angalau asubuh kila siku kwa dk 30 itasaidia kuchoma sukar vile vile na kuuweka mwili wake fit zaid
 
Habari wakuu l,

Kama kichwa kinavyosema hapo juu. Miaka mitatu iliyopita siku moja nikiwa naangalia TV sebuleni nilijikuta Nina blurred vision, kwenda kuchek zahanati nikakutwa Nina sukari.

Nilipewa dawa za kutumia hospital lakini kuna dawa za asili nilitumia mwishowe tatizo likatoweka halikunitokea tena na uzuri nikanunua mashine ya kupika glucose nyumbani nikawa nachek mara kwa mara. Sasa juzi niliona Dalili za kukojoa mara kwa mara, na vision inakua blurred.

From experience naona NI sugar level Itakua imepanda na bahati mbaya nilikua nimekuja kwenye msiba wa mama yangu mzazi so mashine nimeicha nyumbani. Hivyo naomba wakuu kwenye wazoefu au maarifa ya hii changamoto, wanisaidie ni jinsi gani ninaweza kuirudisha normal levels nikiwa nyumbani kabla ya kwenda zahanati.

Asanteni
Pole sana mkuu, tumia mamumunya kama unayafahamu, chukua mawili yakate kidogo juu na chini kama unatoa kikonyo halafu yakate kate vipande vidogo vidogo visage na blender ukiwa umechanganya na maziwa fresh kisha weka kwenye friji uwe unatumia mara mbili kwa siku asubui na usiku, hii ni kwa kushusha tuu sukari na hayo mamumunya usiyamenye yaoshe vizuri tu.

Ulete mrejesho hapa mkuu kwa faida ya wengine ikiwa utafanikiwa.
 
Mkuu kuna dawa moja ni unga wa mbegu za maboga,kuna mtu anaitumia inamsaidia sana huwa anaichukua pale Kkoo karibu na msikiti wa mtoro na kule sokoni inapatikana ni shillingi elf 8-10 itafute unaweza kuwa na matokeo chanya pia
 
Chemsha mchicha kunywa,usiwe mwingi kiasi,ukizidisha unaweza kushusha zaidi halafu ikuletee shida zaidi.
 
Magome ya mti wa mzambarau kama upo karibu chemsha kunywa maji yake itakusaidia kwa hko kipind wakat unangoja kurud kwako
 
Back
Top Bottom