Dawa ya rashes kwenye ngozi

maganjwa

JF-Expert Member
Sep 11, 2012
2,774
2,297
Yaani kuna kama viupele vinanisumbua wiki ya pili sasa kuna dawa nimepewa hospitali moja ya private hapa mjini Dodoma haijasaidia sijui nifanye nini inaninyima raha sana.
vinawasha ila si sana nimepina damu docta kasema iko fresh.
 
vinawasha ila si sana vinatengeneza kama vishilingi
 
d5dc60e3e69bc205f5bb746fe62d9462.jpg

Hii
 
Back
Top Bottom