Dawa ya mwanamke anayekunyima unyumba

Dawa ya mwanamke anayekunyima unyumba

Nakuona una shamili tu nime kutumia barua pepe haijajibiwa mpaka leo nahisi ilisha chomwa moto poa tu 😂😂 tutakutana
Nimechoma moto barua pepe?

Tukutane wapi muda huu maana vijana mnatudharau sana,nimetoka shamba kulima hivyo mwili uko kamili gado,utaweza kupimana nguvu? Au utakimbilia kusema kwa mama?
 
Nimechoma moto barua pepe?

Tukutane wapi muda huu maana vijana mnatudharau sana,nimetoka shamba kulima hivyo mwili uko kamili gado,utaweza kupimana nguvu?
😂😂😂 ni pm nikupe location ila ukifa nisifungweee
 
Anakunyima sasa unakaa nae wa nini siutafute mwanamke mwingine au wewe ndio wale madaume suruali
 
Piga punyeto mbele yake Kisha lala,
Utakuja mbio kunishukuru.
 
Nitajieni dawa mujaribu ya kukomesha hii tabia ya huyu mwanamke alieanza kuninyima unyumba

Ni binti wa miaka ya 2000 namlisha mamvisha na kumhudumia kwa kila kitu

Hivi karibuni nimegundua kuna jamaa anachat nae sana hadi mwanamke kaanza kuwa na kiburi cha chini chini

Mbaya zaidi kaninyima unyumba mara 2 na zote nilimtimua chumbani akalale sebuleni

Nimfanyaje huyu mtu ili aache hii tabia ya kuninyima unyumba??
Pole mzee mwenzangu nikwambie kitu kamwe akikunyima usimfukuze ndani, usimpige ila kuwa jasiri ishi kama mwanaume kama anachart na mtu umejua Fanya umuulize hii namba kulikoni Kisha akikujibu mwambie sawa halafu badili mambo flani na tabia Yako ukiwa naye Fanya kama umeonekana amekuuzi kwa kitendo chake siku tatu mpe pesa kuhusu unyumba usijali mwisho atakuomba msamaha mwenyew mwisho kuza Hilo kosa la kuchart kwa kifupi
 
Sasa si umbake tu?
Uzuri siku hizi magereza maharage yanawekwa vitunguu utainjoy maisha
 
Pole mzee mwenzangu nikwambie kitu kamwe akikunyima usimfukuze ndani, usimpige ila kuwa jasiri ishi kama mwanaume kama anachart na mtu umejua Fanya umuulize hii namba kulikoni Kisha akikujibu mwambie sawa halafu badili mambo flani na tabia Yako ukiwa naye Fanya kama umeonekana amekuuzi kwa kitendo chake siku tatu mpe pesa kuhusu unyumba usijali mwisho atakuomba msamaha mwenyew mwisho kuza Hilo kosa la kuchart kwa kifupi
Acha kumfundisha mwenzio ujinga. Nyie ndio mnatombewa hovyo wake zenu
 
Labda hamuunganishi via vya uzazi inavyopaswa ndomana hataki na wewe.
 
Maana ya mwanamke kukunyima mkiwa kwenye ndoa ni kwamba hisia juu yako hazipo,zimekata.Hisia zimehamia kwa huyo anayechati naye.Kuna uwezekano mkubwa huyo jamaa ameshamla.Chunguza ,chukua hatua.
Acha kupotosha. Ndoa zina mengi
 
Nitajieni dawa mujaribu ya kukomesha hii tabia ya huyu mwanamke alieanza kuninyima unyumba

Ni binti wa miaka ya 2000 namlisha mamvisha na kumhudumia kwa kila kitu

Hivi karibuni nimegundua kuna jamaa anachat nae sana hadi mwanamke kaanza kuwa na kiburi cha chini chini

Mbaya zaidi kaninyima unyumba mara 2 na zote nilimtimua chumbani akalale sebuleni

Nimfanyaje huyu mtu ili aache hii tabia ya kuninyima unyumba??
Dawa yake ni moja tu: soma 'woman psychology'. Mfano, wewe kama huna hisia za kufanya mapenzi, ni nani anaweza kukulazimisha kufanya hayo mapenzi kwa wakati huo? Na kama mwanamke naye hana hisia za kufanya mapenzi, ni nani anayeweza kumlazimisha kufanya mapenzi kwa wakati huo? Hisia huja kulingana na jinsi ulivyo karibu na mtu fulani, au jinsi wote wawili mnavyojitahidi kuwa na mahusiano mazuri. Hisia hukimbia/hupotea kama vitendo vya kukwazana vinakuwa vya mara kwa mara na hakuna effort ya kuvi'address'. Wanaume wengi wanawakiria wake zao kwamba labda wamepata mtu mwingine nje ndiyo maana kila wakijaribu leo, wanaambiwa 'nimechoka' au 'naumwa' etc. 'Nimechoka' au 'naumwa' ni namna nyingine ya kusema "sina hisia za kufanya mapenzi muda huu". Unachotakiwa kufanya ni wewe unayeambiwa hivyo, kwanza kuwa 1) sober, na 2) fikiria kama hujamkwaza mkeo/mapenzi wako kwa lolote. Ukitaka wote wawili kuwa on the same level kimapenzi, boresheni mahusiano yenu (kuwa karibu), na kupunguza maudhi au vitendo vinavyomuudhi mwenzako. Wanaume wengi wanadhani mwanamke ni chombo cha kutumia kimapenzi. They are wrong! Ni binadamu na ana utu wake, ni lazima aheshimiwe. Hivyo, dawa ya kuwa karibu kimapenzi ni kuboresha mahusiano katika ndoa au uchumba (kupunguza kila siku vitendo vinavyomuudhi mume/mke/mapenzi wako). Vinginevyo, hakuna ndoa, hakuna mahusiano mazuri, na hakuna mapenzi ya dhati. Kuchepuka, ambayo ndiyo shortcut ya wengi siyo suluhisho la tatizo. Hata huko unakochechepuka mkizoeana sana, mapenzi yataisha tu Kwa sababu "familiarity breeds contempt". Dawa ya mapenzi/ndoa ni kuwa na mahusiano ya karibu, na haya ndiyo yanayoleta hisia za kufanya mapenzi. Hakuna dawa na hakuna mchawi hapa! Dawa yake au mchawi wake kama yupo ni kuwa na mahusiano ya karibu tu. Full stop!
 
Back
Top Bottom