Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,029
- 173,693
Dawa ya sanduku ndio ipojeExpel, dawa ya sanduku, usafi na usiweke chakula nje. Nunua ndio uhifadhi vyakula vyote.
Dawa ya sanduku ndio ipojeExpel, dawa ya sanduku, usafi na usiweke chakula nje. Nunua ndio uhifadhi vyakula vyote.
Zile gololi nyeupe wanauza wamachingaDawa ya sanduku ndio ipoje
Mi kwangu Kunguni mpaka nahisi nimerogwaNyumbani KWANGU kila pahala ni mende, zimejaaa kwenye mafriji, kabati, na etc Ila usafi ni maximum,Why? Na nifanyeje?
Kweli konki master haimwachi mtu salamaSource ni chooni,mwaga oil chafu kwenye chambers
Viko packed hawawezi kulaNi kuacha uchafu.
Ulishaona supemarket kakatiza mende?? Na huko ndo vyakula vimejaa