Dawa ya malaria kwa mama mjamzito

Dawa ya malaria kwa mama mjamzito

km ni sp sawa kabisa… muhimu kuzinywa! awe na malaria ama asiwe nayo
 
kadi alikuwa nayo, lkn huyo daktari alimpa atumie but alikuwa haumwi chochote
ninachomaanisha ni kwamba kaka alienda na kadi, na daktari akaiona basi alili- consider suala ya ujauzito, na dawa inayomfaa ni SP (kama hana allergy na sulphur), hivyo usiwe na wasiwasi we muamini daktari aliyemhudumia.
 
Nahitaji msaada wa dawa nzuri ya Malaria nitakayoweza kutumia bila madhara, nina ujauzito wa wiki 14.
 
Hapo ushauri nenda kwa daktari kabisa au Pharmacy na pia usome kile kikaratasi cha dawa ndani ya box la dawa
Maana si kila despenser wa dawa ni pharmacist
Utaharibiwa mimba usipokuwa makini
 
Hapo ushauri nenda kwa daktari kabisa au Pharmacy na pia usome kile kikaratasi cha dawa ndani ya box la dawa
Maana si kila despenser wa dawa ni pharmacist
Utaharibiwa mimba usipokuwa makini
Natamani kujua kama kuna dawa nyingine nje ya quinine inayoweza kutibu ukilinganisha na hali yangu, naingiwa uoga mkubwa kutumia quinine kutokana na side effects zake
 
Quinine ndo dawa ambayo iko safe ktk kipindi chako chote cha ujauzito. So usiiogope kuitumia

Lakini kwa sababu mimba ina wiki 14 unaruhusiwa pia kutumia vidonge vya ALU (mseto) maana yenyewe huwa hairusiwi kutumika kwenye ujauzito wa chini ya wiki 12.
 
Nahitaji msaada wa dawa nzuri ya Malaria nitakayoweza kutumia bila madhara, nina ujauzito wa wiki 14.

Aliyetegwa, mwongozo wa WHO na Wizara ya Afya unaelekeza mama mjamzito atumie dawa ya SP (sulfadoxine-pyrimethamine) kumkinga na malaria kuanzia wiki ya 13 na kuendelea, kila anapohudhuria clinic ya antenatal.

Kwa maana hiyo kwa sababu upo wiki ya 14 ambayo ni 2nd trimester, nakushauri ukamwaone daktari unapohudhuria clinic ili akupe maelezo zaidi. Kumbuka WHO inashauri antenatal clinic zisiwe chini ya 4 katika kipindi chote cha ujauzito.

Kila la kheri.
 
Quinine ndo dawa ambayo iko safe ktk kipindi chako chote cha ujauzito. So usiiogope kuitumia

Lakini kwa sababu mimba ina wiki 14 unaruhusiwa pia kutumia vidonge vya ALU (mseto) maana yenyewe huwa hairusiwi kutumika kwenye ujauzito wa chini ya wiki 12.
Asante sana mkuu
 
Quinine ndo dawa ambayo iko safe ktk kipindi chako chote cha ujauzito. So usiiogope kuitumia

Lakini kwa sababu mimba ina wiki 14 unaruhusiwa pia kutumia vidonge vya ALU (mseto) maana yenyewe huwa hairusiwi kutumika kwenye ujauzito wa chini ya wiki 12.
Changamoto za quinine kuzivumilia inataka moyo jamanih, kiukweli nikiziwaza najikuta nachanganyikiwa
 
Habari zenu wapendwa...Mimi ni mjamzito wa miezi minne kasoro kwa bahati mbaya nimeugua malaria na ilionekana ninawadudu saba kwa kipimo cha BS,ila nimekwenda Hosp wakanipima kwa kutumia MRTD malaria haikuonekana,Nurse akanambia kwa vile haijaonekana katumie CT sasa wataalam wa dawa sijui ndo cetrin au cetrizin na pcm nikatumie...je iyo CT inatibu malaria?na haina madhara kwa mjamzito?na alinambia siwez kupa SP mapaka clinic yako ya pili watakupatia...
 
Nenda tu kliniki huwa wanatoa dawa maalumu za maralia kwa wajawazito. Kwa kuwa moyo wako umegoma kunywa quinine basi usinywe maana ucje ukatuharibia huyo mtu mpya
 
Habari wakuu mimi naitwa nickyson mkazi wa kibaha. Naomba msaada mkewangu nim mjamzito na ni mgonjwa amekua akilalamika kua kichwa kinamuuma na tumbo. pia anasikia barid kali san huku mwili unachemka sana. Na misuli ya mgongo inamuuma tumeenda zahanati wamempima malaria hana UTI Hana. Nilikua naomba mnisaidie wataalam atakua na shida gan
 
Back
Top Bottom