Dawa ya malaria kwa mama mjamzito

Dawa ya malaria kwa mama mjamzito

Habari wakuu mimi naitwa nickyson mkazi wa kibaha. Naomba msaada mkewangu nim mjamzito na ni mgonjwa amekua akilalamika kua kichwa kinamuuma na tumbo. pia anasikia barid kali san huku mwili unachemka sana. Na misuli ya mgongo inamuuma tumeenda zahanati wamempima malaria hana UTI Hana. Nilikua naomba mnisaidie wataalam atakua na shida gan
Kuna jamaa yangu mke wake alipata dalili kama hizi,,, ilikuja kugundulika ni pressure
 
Back
Top Bottom