Dawa ya Majambazi ni moto tu

zandrano

JF-Expert Member
Jan 24, 2017
7,136
7,711
Pongezi kwa Jeshi letu la polisi kwa kufanikiwa kudhibiti tukio la kihalifu huko tegeta kwa kuwauwa majambazi 3.

chanzo.
Chanel ten & azamtv.
====

Mwendo huo huo, na sisi wananchi tupo tayari kuwafichua wahalifu wote, majambazi na wauza madawa ya kulevya, aina hii ya watu hatuwataki kabisaa kwenye jamii yetu wanastahiki kuishi chini ya ardhi.

Kwakweli tulipongeze Jeshi letu la Posi Kanda ya Dsm chini ya Kamanda Mriro, maana baada ya kupewa taarifa na wananchi wa eneo hilo kuwa kuna majambazi wanataka kufanya yao......mara paap kikosi kazi maalum cha polisi kikatinga na kisha kusambaratisha majambazi yote ambayo yalikuwa yamejipanga.

Pole kwa majeruhi mmoja upande wa polisi, tunamuombea Mungu apone haraka, hakika huo ndio uzalendo wa kweli kwa Tifa.
Bug up sana.

DSM sio mahala salama tena kwa majambazi.

Lakini pia tunaliomba Jeshi letu la Polisi wanapo wakamata majambaZion au wanapo uliwa picha zao ziwe zinawekwa hadharani ili iwe fundisho wa majambazi wengine tulio nao mitaani.

Ujmbazi haulipi.
 
Kwa mujibu wa Taarifa zilizo tolewa na Kamanda wa Mkoa wa DSM ni kwamba;

Majambazi yaliyo uliwa yalikuwa majambazi sugu ambayo yaliwahi kusota gerezani miaka kadhaa na kisha badae kuachiwa kwa sababu za kisheria.

kwa maoni yangu hao majambazi hawakustahili kabisa kuishi duniani zaidi huko walipo sasa.

hiii ni kengele kwa majambazi wengine na wauza madawa ya kulevya endapo kama hawajabadilika basi wataishi chini ya ardhi.

Shime wananchi wote tuwafichue kila mahali.
 
Kwa hiyo sisi tumeshawahukumu hawa suspects wa ujambazi, kauli za polisi na za upande mmoja timezone za ukweli!,hatuhitaji courts of law!,ni muhimu kama suspect anakimbia from crime scene,police huruhusiwi to use deadly force, police anaruhusiwa kisheria once maisha ya raia au yake yanapokua hatarini to use deadly force, Tanzania tuna trigger happy cops
 
Rpc anadai majambazi wamekufa wakiwa njiani wakipelekwa hospital wakati tv zinaonesha maiti zimelala eneo la tukio, hii nchi kila mtu kawa muongo muongo kama majaliwa
mkuu hata mi nimeona ,ila inawezekana wakati wakiwa eneo la tukio walikuwa bado hawajakata roho au wako hoi
 
haki ya kuishi kwako inakoma mara tu unapo kuwa hatari kwa usalama wa wengine.

lazima uuwawe, tuzidi kuwafichua hawa majambazi kwenye maeneo yetu, hawafai kuishi hawa tu.
Waambie majambazi wazingatie haki hiyo wakiwa kwenye shughuli zao haramu
 
Pongezi kwa Jeshi letu la polisi kwa kufanikiwa kudhibiti tukio la kihalifu huko tegeta kwa kuwauwa majambazi 3.
chanzo.
Chanel ten & azamtv.

Mwendo huo huo, na sisi wananchi tupo tayari kuwafichua wahalifu wote, majambazi na wauza madawa ya kulevya, aina hii ya watu hatuwataki kabisaa kwenye jamii yetu wanastahiki kuishi chini ya ardhi.
Ingekuwa vizuri tuyaunganishe na mafisadi huko huko ambayo pengine ndiyo kisababishi kimojawapo kikuu cha ujambazi. Yanajulikana maana yanatajwa wazi kwenye ripoti ya CAG. Kamata fisadi moja halafu litie kiberiti hadharani. Utakuwa shujaa kumzidi hata Kijenketile Ngwalle na utakumbukwa na vizazi vijavyo kama shujaa wetu Mwamwindi aliyemlima shaba yule RC mkorofi kule Iringa enzi zile!
 
Back
Top Bottom