Huyo ni maonyo tu mkuu,akiendelea bakora kidogo atakaa sawa.Kuna Mtoto wa Darasa La 3 ameaanza kuiba Hela Nyumbani. Huyo nae ni Moto au nn?
waswahili wanamsemo usemao kadhaa ya mafunzo na maonyo kama vile;Kuna Mtoto wa Darasa La 3 ameaanza kuiba Hela Nyumbani. Huyo nae ni Moto au nn?
Rpc anadai majambazi wamekufa wakiwa njiani wakipelekwa hospital wakati tv zinaonesha maiti zimelala eneo la tukio, hii nchi kila mtu kawa muongo muongo kama majaliwa
Stahili yao ni kifo kama ambavyo wao wanafanya wanapofanya tukio!!Haki ya kwanza ya binadamu ni kuishi. Hapo polisi wamekatisha haki zao za kuishi na ni kinyume na haki za binadamu.
iwe walikufa papo hapo au njiani au hospitalini, tunacho shukuru sisi wananchi ni afadhali wameuwawa maana majambazi hawafai kuendelea kuishi duniani.Rpc anadai majambazi wamekufa wakiwa njiani wakipelekwa hospital wakati tv zinaonesha maiti zimelala eneo la tukio, hii nchi kila mtu kawa muongo muongo kama majaliwa
Kwa hiyo ulitaka majambazi yafanyweje? Wapetiwe petiwe? Kill them wataisha na itakuwa funzo kwa wenzaoRpc anadai majambazi wamekufa wakiwa njiani wakipelekwa hospital wakati tv zinaonesha maiti zimelala eneo la tukio, hii nchi kila mtu kawa muongo muongo kama majaliwa
Walizimiaa!!Rpc anadai majambazi wamekufa wakiwa njiani wakipelekwa hospital wakati tv zinaonesha maiti zimelala eneo la tukio, hii nchi kila mtu kawa muongo muongo kama majaliwa
Kwenye kutekeleza haki yako, usivunje ya mwingineHaki ya kwanza ya binadamu ni kuishi. Hapo polisi wamekatisha haki zao za kuishi na ni kinyume na haki za binadamu.
Kwahiyo sisi Watu wa Codeine mtawaua wenye Maduka ya Dawa muhimu?wauza madawa ya kulevya, aina hii ya watu hatuwataki kabisaa kwenye jamii yetu wanastahiki kuishi chini ya ardhi.
Swadaktaa atulize kinyolilo huyu mnufaika wa vibakaMpuuzi kweli wewe hao walikua wako tayari kukatisha maisha ya mtu yoyote mpk wameuwawa unajua wameua wangapi?
Muwe mnakalisha matako chini km hamna cha kukoment nyambaf.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wakati akiachia risasi inakuja kwako anza kuisomea risasi vifungu hivo vya katiba