Dawa ya kuondoa chelewa (hangover)

Dawa ya kuondoa chelewa (hangover)

DAWA NI KUNYWA TENA TUU IKIWEZEKANA ZAIDI YA JANA. THEN UENDE KUOGELEA EITHER BEACH OR POOL.:A S angry:
 
Hahhahahaha thanx a lot. But nisirudie tena?? Ngoja nijitahidi

mbona una mashaka ya kutokurudia tena ray05?min kwamba usinywe sana kunywa kwa kiasi bwna sio usinywe kabisa,unaonekana chapiiiiiiiii lol!
 
mbona una mashaka ya kutokurudia tena ray05?min kwamba usinywe sana kunywa kwa kiasi bwna sio usinywe kabisa,unaonekana chapiiiiiiiii lol!

sio kiivyo,mara moja moja sana kama hivi ukiokota pochi ya mzungu.Nitakunywa kila siku kama nikipata kazi kule BOT(nimetuma CV) au TISSSS
 
Iyo makitu inantesa mimi em nisaidieni dawa ya kuondoa (mning'ininio) hangover wakuu...,
 
1. kunywa maji ya kutosha
2. piga vyakula vyenye sukari au juasi ya matunda (hasa ya machungwa maan zina vitamini c ambayo husaidia kuondoa pombe mwilini. unapokunywa pombe jitahidi uwe na juisi ya chungwa au kama unapiga viroba changanya na limao linaondoa ukali na kupunguza ishu za hangover ) hata madafu yanafaa.
3.bangi inaonekana inafaa sana (zakuambiwa...)
4.kunywa malta za kutosha. hizi zinavitamini B6 za kutosha ambayo zinasaidia kupunguza hangover, pia zinarudisha sukari mwilini.
pia pombe kama whisky, white wine huwa zinasababisha hangover kwa kiasi kidogo sana ila brandy na red wine zinasababisha sana hangover bia ziko intermediate. karibu tunywe namaqua wine.
 
Iyo makitu inantesa mimi em nisaidieni dawa ya kuondoa (mning'ininio) hangover wakuu...,

Manake ishakuwa tabu ma doctors i need a help plz;-(

Mkuu Chakuchambuka

Kwa ufumbuzi wa kudumu wa tatizo lako huku nikizingatia mustakabali wako kiuchumi, nakushauri utumie SPLINA LIQUID CHLOROPHYLY. Maelezo yake ni kama ifuatavyo:

Splina Liquid Chlorophyll

Imetengenezwa kutokana na mmea wa "Mulberry " unaotambulika kama chanzo bora cha "Chlorophyll".

Mlo wa kila siku unatakiwa uwe na Asidi 20% and Alkali 80% ili kuuweka mwili katika afya". - Kutokana na Prof. Ragnar Berg, Mwanalishe wa Marekani.

Kijiko Kimoja cha Chakula cha Splina Liquid Chlorophyll ni sawa na Kilogram Moja ya Mbogamboga (Mboga za Majani)

Ni vyakula vipi vyenye Asidi/Alkali

Vyakula asid:
Nyama, Vyakula vya baharini, nafaka, sukari, mafuta, na Vyakula vya makopo.

Vyakula vya Alkali:
Mboga za majani (Mbogamboga), Matunda, na Vyakula vya Mizizi (Karoti, Mihogo, Viazi, n.k)

"Splina" Liquid Chlorophyll is RICH with the following nutrients:

Zinc - helps in cell division and cell growth for faster wound healing.

Selenium - Provides protection from the toxic effects of heavy metals and other substances

Vitamin E - Nourishes the skin and keeps the brain active.

Vitamin C - Promotes healthy teeth and gums. Increases alertness and possesses anti-cancer properties.

Vitamin A - Helps in the formation and maintenance of healthy teeth, skeletal and soft tissue, mucous
membrane and skin. Promotes good vision. Strengthens the heart function.

Protein - Helps in growth and development especially for children and adolescents. Maintains the cell,
muscles, tendons and ligaments.

Biotin – essential for the metabolism of proteins and carbohydrates.

Folic Acid – Acts as a co-enzyme with vitamin B12 and Vitamin C in the breakdown and synthesis of
hormones and cholesterol.

Pantothenic – Essential in the synthesis of Acid hormones and cholesterol

Calcium – important for growth and reproduction of human body, maintains also healthy teeth and
bones.

Chromium – Stimulates fatty acid and cholesterol synthesis and an activator of of several enzymes.

Phosphorous – Assists in the contraction of muscles in functioning of kidneys, maintaining of regularity
of heartbeat

Potassium – It is necessary for muscle building and normal body growth.

Magnesium – Helps in Muscle relaxation and contraction

Iron – Essential to the formation of haemoglobin which carries the oxygen in the blood and muscles.

Faida za kutumia "Splina Liquid Chlorophyll"
1. Inasaidia kuhuisha seli na kuongeza kinga.
2. Inaondoa harufu mbaya mwilini na sores.
3. Inaondoa tatizo la mmeng'enyo wa chakula.
4. Inasafisha Ini kwa kuondoa sumu kwenye Ini
5. Inaondoa kwa haraka sumu zilizo ingia mwilini
kupitia dawa za kuua wadudu.
6. Inaweka uwiano sahihi wa tindikali na alkali mwilini.
7. Inaongeza chembe hai nyekundu za damu
8. Inaaondoa mikunyanzi ya uzee na kupunguza kasi ya kuzeeka.
9. Inapunguza uzito kwa haraka.


Nani anatakiwa kutumia "Splina Liquid Chlorophyll"

  • Watu wenye matatizo ya moyo
  • Watu wanao toka jasho sana
  • Watu wenye matatizo ya Ini
  • Watu wenye matatizo ya upumuaji (Pumu,TB n.k)
  • Watu wenye matatizo ya mifupa na viungo
  • Watu wenye upungufu wa damu
  • Watu wenye ngozi iliyo pauka
  • Watu wenye matatizo ya uzito (uzito uliozidi au uzito pungufu)
  • Watumiaji wa pombe na sigara
  • Watu wasiopenda kula mboga za majani
  • Wanaosumbuliwa na tatizo la kukosa choo
  • Wanopata maumivu wakati wa hedhi
  • Wenye kisukari,vidonda vya tumbo na vidonda sugu.
  • Watu wanao ugua mafua mara kwa mara
  • Watu wenye matatizo ya koo (kukereketa n.k)
  • Watu wanaotoa harufu mbaya mwilini na mdomoni
  • Watu walio bize sana na wenye msongo wa mawazo
  • Watu wanaopenda kula vyakula vya harakaharaka (chips, burger, pizza n.k)



Hapo kwenye rangi ya BLUU ndo penyewe haswaaa!

Naamini maelezo haya yatakuwa msaada kwako na jamii yako inayokuzunguka pamoja na Wanajamvi kwa ujumla.

Kwa taarifa zaidi, piga: 0713 366 473 or 0767 277 223.

KARIBUNI. FEEL LOVE NOW!
 
ndio maana niliachaga.

Hakuna raha duniani kama kuweza kuacha pombe. yaani najiweka kwenye nafasi yako nakuonea huruma sana.

Acheni pombe jamani.

hasara za Pombe.

  • Matumizi- kwanza beer imepanda bei. ukiwa na elfu tano utapata hardly beer 3. kwa wale walevi kama mimi nilivyokua beer tatu ni kama umechokoza kiu so lazima upige atleast 5. Kipato chako kinaruhusu? Pombe will never allow you to think on that line. Ukitaka kukosana na mnywa pombe anza kumpigia mahesabu jinsi pombe inavyokula hela. kwa mfano. Kila siku unakunywa atlest beer tatu na umeanza kunywa for the last five years. nasema atleast beer 3 coz kuna siku hunywi na kuna siku unakunywa tano and above huku unatoa offer. ju,la hiyo miaka mitano utakua umetumia (1,600x3)x365x5=8,760,000/= minimum expenditure
  • Pombe pia inazeesha haraka. ukiangalia sana uso wa mnywaji na asie kunywa halafu wawe rika moja you will see a difference. huyu mlevi ataonekana kama vile amemzidi mwenziye kiumri.
  • Wengine wakinywa pombe zinashuka huku chini- you know what I mean
  • Unakosa muda wa kufanya issue zako za kimaendeleo.
  • unakua mtumwa wa pombe
  • hangover asubuhi kazini
  • Ajali- nimeona ajali nyingi za ulevi zinatia huruma, Kuna bwana mmoja alikua afisa Ardhi mjini Iringa, siku moja nilimkuta amelewa vibaya anaendesha gari kwa kujiamini sana barabarni alikua anjiona yeye ndio yuko perfect kwa kila analo lifanya. Kumbe alikua anaelekea bar ambayo nilikua naenda mimi pia. nilibahatika kuka naye meza moja nikampa tahadhari za ulevi na kuendesha gari, jamaa aliniambia huwa akilewa ndio anakua stable zaidi barabrani. my God after a month nilisikia aliingia chini ya lori wakati anatoka mafinga usiku huku amelewa, jamaa aliishia pale pale. R.I.P my friend.
  • Ugomvi nyumbani.
  • The list is Endless.
Ndugu yangu Inawezekana achana na pombe. acha kabisa, wachie madalali, mafisadi wengine wanywe, wewe wa mshahara tu unapotea kaka.

Please kama your only source of income ni mshahara na unakunywa 24/7. unakoenda siko. Try and evaluate yourself again.

nimependa ushauri huu sema kuacha si rahisi. hebu nipe tips.
 
Ukijihisi umelewa kunywa red bull kabla ya kulala, utakapoamka tu asubuhi kunywa reb bull tena afu kunywa maji mengi. Baada ya nusu saa kunywa maziwa fresh glasi 1, kwisha kazi!
njia nyingine ukilewa kabla haujalala meza vidonge viwili vya asprin. utaamka burudani.
 
Kunywa chai nyenye sukari nyingiiiiii utashika adabu uache ulevi
 
Ukishakunywa kabla ya kulala kunywa Maji mengi. Pia kula tango baada ya kunywa
 
1, ASALI NA LIMAU
Asali na limau ni kinywaji bora kuliko vyote katika tiba hii. Ili kupata ahueni, kunywa mchanganyiko huo mara kadhaa kwa siku.

2. NDIZI MBIVU
Unapozidiwa na kilevi, kiasi kikubwa cha madini ya potassium hupotea, hivyo kwa kula ndizi mbivu kutakusaidia kupunguza makali ya hang-over.

3, TANGAWIZI
Andaa juisi ya tangawizi mbichi na kunywa kama ilivyo, au unaweza kuandaa kwa kukata vipande na uchanganye na maji. Chemsha kwa dakika 10, epua na chuja.

4,HEWA SAFI
Kiasi kikubwa cha oksijeni ingeweza kurahisisha hali ya mgonjwa na kupunguza sumu, kuwa na uhakika wa kushauri kukaa muda mrefu katika viwanja vya wazi, lakini si katika mionzi ya jua.

5, JUISI
Juisi, hasa fresh ya machungwa, husaidia kupandisha kiwango cha sukari kilichopotea na husaidia kuondoa dalili za uchovu mwilini.
 
Back
Top Bottom