Hiyo ya asali na limau ina hatari zake kubwa!
Sorry, nimeshafuta usemi huo!si utuambie mkuu
Huo Muda Wa Kuandaa Si Bora Nitoe Lock
Hiyo kitu hainaga dawa.
Ni kupiga manjota ya kutosha huku ukisikilizia maumivu mpaka ipite.
Mkuu nisaidie maana ya manjota niongezee kwenye kibubu changu cha maneno!
kama hiiHahahah yaan nina tatizo la hangover sugu kila ushauri umedundaaa
Nikiwa na hangover naumia sana nasema sinywi tena ikikata naenda kujipongeza tena na safari lager