Dawa ya kuondoa chelewa (hangover)

Dawa ya kuondoa chelewa (hangover)

ndio maana niliachaga.

Hakuna raha duniani kama kuweza kuacha pombe. yaani najiweka kwenye nafasi yako nakuonea huruma sana.

Acheni pombe jamani.

hasara za Pombe.

  • Matumizi- kwanza beer imepanda bei. ukiwa na elfu tano utapata hardly beer 3. kwa wale walevi kama mimi nilivyokua beer tatu ni kama umechokoza kiu so lazima upige atleast 5. Kipato chako kinaruhusu? Pombe will never allow you to think on that line. Ukitaka kukosana na mnywa pombe anza kumpigia mahesabu jinsi pombe inavyokula hela. kwa mfano. Kila siku unakunywa atlest beer tatu na umeanza kunywa for the last five years. nasema atleast beer 3 coz kuna siku hunywi na kuna siku unakunywa tano and above huku unatoa offer. ju,la hiyo miaka mitano utakua umetumia (1,600x3)x365x5=8,760,000/= minimum expenditure
  • Pombe pia inazeesha haraka. ukiangalia sana uso wa mnywaji na asie kunywa halafu wawe rika moja you will see a difference. huyu mlevi ataonekana kama vile amemzidi mwenziye kiumri.
  • Wengine wakinywa pombe zinashuka huku chini- you know what I mean
  • Unakosa muda wa kufanya issue zako za kimaendeleo.
  • unakua mtumwa wa pombe
  • hangover asubuhi kazini
  • Ajali- nimeona ajali nyingi za ulevi zinatia huruma, Kuna bwana mmoja alikua afisa Ardhi mjini Iringa, siku moja nilimkuta amelewa vibaya anaendesha gari kwa kujiamini sana barabarni alikua anjiona yeye ndio yuko perfect kwa kila analo lifanya. Kumbe alikua anaelekea bar ambayo nilikua naenda mimi pia. nilibahatika kuka naye meza moja nikampa tahadhari za ulevi na kuendesha gari, jamaa aliniambia huwa akilewa ndio anakua stable zaidi barabrani. my God after a month nilisikia aliingia chini ya lori wakati anatoka mafinga usiku huku amelewa, jamaa aliishia pale pale. R.I.P my friend.
  • Ugomvi nyumbani.
  • The list is Endless.
Ndugu yangu Inawezekana achana na pombe. acha kabisa, wachie madalali, mafisadi wengine wanywe, wewe wa mshahara tu unapotea kaka.

Please kama your only source of income ni mshahara na unakunywa 24/7. unakoenda siko. Try and evaluate yourself again.
 
Wakuu msinicheke,haraka tafadhari nifanye nini manake hali bado ni mbaya.nimeambiwa ninywe maji mengi,mara supu au niongezee kama chupa mbili.
Mnasemaje

Endelea kulewa, hangover maana yake pombe inaisha kichwani.
 
ndio maana niliachaga.

Hakuna raha duniani kama kuweza kuacha pombe. yaani najiweka kwenye nafasi yako nakuonea huruma sana.

Acheni pombe jamani.

hasara za Pombe.


  • Matumizi- kwanza beer imepanda bei. ukiwa na elfu tano utapata hardly beer 3. kwa wale walevi kama mimi nilivyokua beer tatu ni kama umechokoza kiu so lazima upige atleast 5. Kipato chako kinaruhusu? Pombe will never allow you to think on that line. Ukitaka kukosana na mnywa pombe anza kumpigia mahesabu jinsi pombe inavyokula hela. kwa mfano. Kila siku unakunywa atlest beer tatu na umeanza kunywa for the last five years. nasema atleast beer 3 coz kuna siku hunywi na kuna siku unakunywa tano and above huku unatoa offer. ju,la hiyo miaka mitano utakua umetumia (1,600x3)x365x5=8,760,000/= minimum expenditure
  • Pombe pia inazeesha haraka. ukiangalia sana uso wa mnywaji na asie kunywa halafu wawe rika moja you will see a difference. huyu mlevi ataonekana kama vile amemzidi mwenziye kiumri.
  • Wengine wakinywa pombe zinashuka huku chini- you know what I mean
  • Unakosa muda wa kufanya issue zako za kimaendeleo.
  • unakua mtumwa wa pombe
  • hangover asubuhi kazini
  • Ajali- nimeona ajali nyingi za ulevi zinatia huruma, Kuna bwana mmoja alikua afisa Ardhi mjini Iringa, siku moja nilimkuta amelewa vibaya anaendesha gari kwa kujiamini sana barabarni alikua anjiona yeye ndio yuko perfect kwa kila analo lifanya. Kumbe alikua anaelekea bar ambayo nilikua naenda mimi pia. nilibahatika kuka naye meza moja nikampa tahadhari za ulevi na kuendesha gari, jamaa aliniambia huwa akilewa ndio anakua stable zaidi barabrani. my God after a month nilisikia aliingia chini ya lori wakati anatoka mafinga usiku huku amelewa, jamaa aliishia pale pale. R.I.P my friend.
  • Ugomvi nyumbani.
  • The list is Endless.

Ndugu yangu Inawezekana achana na pombe. acha kabisa, wachie madalali, mafisadi wengine wanywe, wewe wa mshahara tu unapotea kaka.

Please kama your only source of income ni mshahara na unakunywa 24/7. unakoenda siko. Try and evaluate yourself again
.

.

Knowledge is knowing that a tomato is a fruit; wisdom is knowing not to put it in a fruit salad.
- unknown.


To know something
is to be aware of the fact that it is.

Example:
You have knowledge of a tomato, which is a fruit.


To be wise is to to be knowledgeable about something and also have the ability to pair that knowledge with proper action, or judgement.

Example
: Your wisdom prevents you from putting tomatos in fruit salad.


.
 
Dawa ya moto ni moto. Kama uko kibaruani, kamata sicksheet njoo hapa Fyatanga tuendelee kugida. Dawa ya ming'inio ni kuendelea kuutwika.

Kunywa bia kwa maendeleo ya Taifa!!!

Khaaaaaaaaaa!:smash:
 
.

Knowledge is knowing that a tomato is a fruit; wisdom is knowing not to put it in a fruit salad.
- unknown.


To know something
is to be aware of the fact that it is.

Example:
You have knowledge of a tomato, which is a fruit.


To be wise is to to be knowledgeable about something and also have the ability to pair that knowledge with proper action, or judgement.

Example
: Your wisdom prevents you from putting tomatos in fruit salad.


.

There you are Broda!!!!
 
ndio maana niliachaga.

Hakuna raha duniani kama kuweza kuacha pombe. yaani najiweka kwenye nafasi yako nakuonea huruma sana.

Acheni pombe jamani.

hasara za Pombe.

  • Matumizi- kwanza beer imepanda bei. ukiwa na elfu tano utapata hardly beer 3. kwa wale walevi kama mimi nilivyokua beer tatu ni kama umechokoza kiu so lazima upige atleast 5. Kipato chako kinaruhusu? Pombe will never allow you to think on that line. Ukitaka kukosana na mnywa pombe anza kumpigia mahesabu jinsi pombe inavyokula hela. kwa mfano. Kila siku unakunywa atlest beer tatu na umeanza kunywa for the last five years. nasema atleast beer 3 coz kuna siku hunywi na kuna siku unakunywa tano and above huku unatoa offer. ju,la hiyo miaka mitano utakua umetumia (1,600x3)x365x5=8,760,000/= minimum expenditure
  • Pombe pia inazeesha haraka. ukiangalia sana uso wa mnywaji na asie kunywa halafu wawe rika moja you will see a difference. huyu mlevi ataonekana kama vile amemzidi mwenziye kiumri.
  • Wengine wakinywa pombe zinashuka huku chini- you know what I mean
  • Unakosa muda wa kufanya issue zako za kimaendeleo.
  • unakua mtumwa wa pombe
  • hangover asubuhi kazini
  • Ajali- nimeona ajali nyingi za ulevi zinatia huruma, Kuna bwana mmoja alikua afisa Ardhi mjini Iringa, siku moja nilimkuta amelewa vibaya anaendesha gari kwa kujiamini sana barabarni alikua anjiona yeye ndio yuko perfect kwa kila analo lifanya. Kumbe alikua anaelekea bar ambayo nilikua naenda mimi pia. nilibahatika kuka naye meza moja nikampa tahadhari za ulevi na kuendesha gari, jamaa aliniambia huwa akilewa ndio anakua stable zaidi barabrani. my God after a month nilisikia aliingia chini ya lori wakati anatoka mafinga usiku huku amelewa, jamaa aliishia pale pale. R.I.P my friend.
  • Ugomvi nyumbani.
  • The list is Endless.
Ndugu yangu Inawezekana achana na pombe. acha kabisa, wachie madalali, mafisadi wengine wanywe, wewe wa mshahara tu unapotea kaka.

Please kama your only source of income ni mshahara na unakunywa 24/7. unakoenda siko. Try and evaluate yourself again.

Daah.......hongera sana kwa kuacha pombe bro............na Mungu azidi kukusaidia usirudi tena huko.
 
Wakuu msinicheke,haraka tafadhari nifanye nini manake hali bado ni mbaya.nimeambiwa ninywe maji mengi,mara supu au niongezee kama chupa mbili.
Mnasemaje

Kamata tango na Soda ya Bitter lemon unasahau shida zako zote.
 
mkuu ushauri serious.
mi katika kupambana na hangover nilipata yafuatayo
hangover inasababu mbili kuu, moja ni kuishiwa maji yanayosaidia kutoa pombe kupitia mkojo hivyo dawa ya kwanza piga maji mengi sababu ya pili ni withdrawal ya alcohol yaani pombe inapoisha mwilini unapatwa hangover kama teja akikosa heroin sa hapa dawa ni kuzimua japokuwa utapata temporary relief PIA JARIBU UWE UNAPIGA WINE.
jamani tunywe! tunywe! tunywe! ILI TUJENGE NCHI SI MNAJUA NCHI INATEGEMEA POMBE!
 
...kweli ya ngoswe muachie ngoswe na ukistaajabu ya musa utashangaa ya firauni...hii mada ya walevi, mi simo njooni kwa yesu hangover kwishaaa, karibuni efatha.
 
Ukijihisi umelewa kunywa red bull kabla ya kulala, utakapoamka tu asubuhi kunywa reb bull tena afu kunywa maji mengi. Baada ya nusu saa kunywa maziwa fresh glasi 1, kwisha kazi!
 
Zinapatiana kwa sh 6,000/= tu. Ukiihitaji piga +255 656 608 945

261012055800IMG-20120927-00085.jpg

261012055803cbe9caa5_cb162c50_5852_4585_99f7_9a74b07ba4b4.jpg



A New Revitalizing Health Drink is specifically formulated to prevention and solution hangover.S-MAX also detoxifies, Relieves stress and Fatigue. It can be taken before, after or even mixed with alcohols-MAX can also be taken by non-alcoholic Drinkers as a health supplement made from
Swellfish Extract as an active ingredient with others like artchoke,Red gingseng,Japanese apricot and many mo
re.



Drink 1 Bottle before drinking, then get Drunk all night and wake up feeling fresh. Its a small bottle of a 100ML
 
Acha uongo! Hangover haina dawa! Sana sana unaweza kuipunguza kwa maji mengi na sharbati (juisi), basi!
 
eti ununue kinywaji ili unywe pombe nyingi na usipate hangover. dawa ya hangover mbona ndizi mbivu 2 zinatosha.
 
Back
Top Bottom