Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 6,843
- 12,609
Ila hutokaa upate mwanamke wa hivyo Katika Dunia hii, wanawake wa ckuiz utamsikia akikwambia Kama mbwai iwe mbwai na ukimwaga mboga mi namwaga ugali.
Wanaume wenye bahat zao wanawapata mkuu.Ila hutokaa upate mwanamke wa hivyo Katika Dunia hii, wanawake wa ckuiz utamsikia akikwambia Kama mbwai iwe mbwai na ukimwaga mboga mi namwaga ugali.
Kumbe nini mkuu?Kumbe!! Waeleze ili waachane na haya matusi, "mwanaume gani wewe! Mwanaume suruali! Na utanikoma! Nitakuamgamiza wewe na mchepuko wako! Kafie mbali huko! Huna maana kabisa!!" Yapo mengi ya kudhalilisha.