kideko
JF-Expert Member
- Feb 23, 2017
- 296
- 217
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyo sema, Mke wangu anatatizo la hormone imbalance, hivyo hawezi kubeba ujauzito, Naombeni msahada wa tatizo hili au dawa ambayo inaeza kumsaidia abebe ujauzito angalau Mtoto mmoja tu. Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app