Dawa ya hormone imbalance

Wakuu kama kichwa cha habari kinavyo sema, Mke wangu anatatizo la hormone imbalance, hivyo hawezi kubeba ujauzito, Naombeni msahada wa tatizo hili au dawa ambayo inaeza kumsaidia abebe ujauzito angalau Mtoto mmoja tu. Asanteni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ingia Instagram ya Hosymichael utapata suluhisho la kudumu, believe me
 
nani kakwambia tatizo ni hormon inbalance?? kama ni hospital je wamekushauri nini? kama wameshakupa tiba na advise na hazifanya kazi endelea kuomba ushauri kwa walimwengu ila kama hijaenda hospital na unatafuta advise mitandaoni jiandae kupigwa na hao wanaojiita wataalam
 
nani kakwambia tatizo ni hormon inbalance?? kama ni hospital je wamekushauri nini? kama wameshakupa tiba na advise na hazifanya kazi endelea kuomba ushauri kwa walimwengu ila kama hijaenda hospital na unatafuta advise mitandaoni jiandae kupigwa na hao wanaojiita wataalam
Tumenda hospital, kapewa dawa lakini hazijamsadia. Na tumeenda hosptali nyingi sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mlonge ni suluhisho la tatizo la mkeo.(Nina ushuhuda wa kutosha) Ukihitaji ni pm nikupe mlonge na maelekezo ya matumizi.
 
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyo sema, Mke wangu anatatizo la hormone imbalance, hivyo hawezi kubeba ujauzito, Naombeni msahada wa tatizo hili au dawa ambayo inaeza kumsaidia abebe ujauzito angalau Mtoto mmoja tu. Asanteni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi siyo daktari, lakini nina ushuhuda wa tatizo hilo. Fanya hivi, atumie vidonge vya majira. Mfululizo kwa miezi mitatu tatizo litakwisha. Siku zake zitarejea.
 
Back
Top Bottom