Dawa ya hizi rashes (upele)

Dawa ya hizi rashes (upele)

Una uhakika huna scabies? Ni aina ya chawa wadogo sana wanaishi kwenye ngozi. Huwa wanawasha sana na vidole vinakuwa na vipele. Kuna dawa inaitwa scaboma lotion. Ila ni muhimu sana kuwa na usafi wa mashuka na nguo. Kama ni huo ugonjwa, huwa unaambukiza sana na inabidi ufanye usafi wa nguo na mashuka yako.
Kweli huenda ni scabies
 
Nimeanza itumia hii scaboma lotion toka jana, pharmacist aliniambia ni hizo scabies
Una uhakika huna scabies? Ni aina ya chawa wadogo sana wanaishi kwenye ngozi. Huwa wanawasha sana na vidole vinakuwa na vipele. Kuna dawa inaitwa scaboma lotion. Ila ni muhimu sana kuwa na usafi wa mashuka na nguo. Kama ni huo ugonjwa, huwa unaambukiza sana na inabidi ufanye usafi wa nguo na mashuka yako.
 
Nimeanza itumia hii scaboma lotion toka jana, pharmacist aliniambia ni hizo scabies
Itumie ni nzuri sana. Ila ujuwe kama ni scabies basi bado una shughuli ya kuhakikisha mashuka na matandako yote unayolalia yamefuliwa vizuri sana kwa maji moto halafu upige pasi Vimelea wake aanaangamizwa kwa joto la zaidi ya 50 degrees cg. Au unaacha kuyatumia matandiko kwa muda, kwani vimelea haviwezi kuishi nje ya ngozi ya mwanadamu kwa muda mrefu.
 
Back
Top Bottom