Ngorunde
Platinum Member
- Nov 17, 2006
- 5,493
- 11,570
Nenda ukamwone daktari wa magonjwa ya ngozi akupe mwongozo.Msaada vipele ivo vinawasha sana, sijajua shida ni nini
View attachment 3480819
Nenda ukamwone daktari wa magonjwa ya ngozi akupe mwongozo.Msaada vipele ivo vinawasha sana, sijajua shida ni nini
View attachment 3480819
Kweli huenda ni scabiesUna uhakika huna scabies? Ni aina ya chawa wadogo sana wanaishi kwenye ngozi. Huwa wanawasha sana na vidole vinakuwa na vipele. Kuna dawa inaitwa scaboma lotion. Ila ni muhimu sana kuwa na usafi wa mashuka na nguo. Kama ni huo ugonjwa, huwa unaambukiza sana na inabidi ufanye usafi wa nguo na mashuka yako.
Feruzi- Starehe
Una uhakika huna scabies? Ni aina ya chawa wadogo sana wanaishi kwenye ngozi. Huwa wanawasha sana na vidole vinakuwa na vipele. Kuna dawa inaitwa scaboma lotion. Ila ni muhimu sana kuwa na usafi wa mashuka na nguo. Kama ni huo ugonjwa, huwa unaambukiza sana na inabidi ufanye usafi wa nguo na mashuka yako.
Mbali na hivyo vipele kwenye mikono, ni sehemu zipi za mwli nyingine una vipele na miwasho?Nimeshauriwa hapo juu nataka niitafute hiyo dawa
Muuaji wewe 😂
Itumie ni nzuri sana. Ila ujuwe kama ni scabies basi bado una shughuli ya kuhakikisha mashuka na matandako yote unayolalia yamefuliwa vizuri sana kwa maji moto halafu upige pasi Vimelea wake aanaangamizwa kwa joto la zaidi ya 50 degrees cg. Au unaacha kuyatumia matandiko kwa muda, kwani vimelea haviwezi kuishi nje ya ngozi ya mwanadamu kwa muda mrefu.Nimeanza itumia hii scaboma lotion toka jana, pharmacist aliniambia ni hizo scabies
Oga mara moja kila baada ya siku 3Niko Pangani tanga mkuu, kwa siku naoga mara moja tuu pamoja na joto lote lilopo huku
Pole mkuu,Kwenye tumbo kidogo sana na miguuni kidogo