Dawa aliyo nipa bibi inahatarisha uhai wangu

Dawa aliyo nipa bibi inahatarisha uhai wangu

!
!
kuna moja ya kichina inaitwa woman sexual desire swd,hiyo kiboko. Jitihada za mwanaume ni kuhakikisha tu uko sehemu stahiki na uweze kudondoshea matone mawili matatu katika kinywaji chake anachokunywa iwe maji,bia au soda. Glasi mbili tu unapewa mzigo unatandika. Chezea nchina wewe.
 
Una nyota HIV pia unashauriwa kutumia ARV
 
  • Thanks
Reactions: RR
Mwaka 1992 noti za buku 2 zilikua zimeshatoka!!!!
Njoo na huku kwetu nione kama rimoyo rangu rinaweza kukudondokea...
 
Mwaka 1992 noti za buku 2 zilikua zimeshatoka!!!!
Njoo na huku kwetu nione kama rimoyo rangu rinaweza kukudondokea...

Tangu April 2013!
Msururu wa mabint utakuwa umeshamkamua mazima na kum restisha.
 
Hahaha nimekumbuka mbali sana..wakati niko primary kuna wadau waliniuzia mzizi wakaniambia dawa ya kimasai ya kuwa nitapata madem na masharti isiloe maji nitakufa, siku ileile nilipewa mvua ikanyesha wakati niko njiani naenda home, mzizi ukaloa , niliogopa kinoma sana baada kama ya mwezi ivi ndo wakaniambia walinidanganya ulikuwa mzizi wa mwarobaini aisee ulikuwa ugomvi mkubwa sana siku hiyo waliyoniambia
 
Duuu,,hii ni forum ya tamthilia nini?

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Thanks my dear ICHANA, I am missing you BIG!!!
Nina kiwi sana dear, nipege tu!!!!!
Njoo nikupe ha ha ha
I miss u much

Hahahahahaaa charminglady acha hizo bhana!!!!
Uzuri mtu ukishindwa kupiga sound, ushindwe hata kudowea (kula) kwa macho? Loooo!!!!
Nakupendaga pendaga ujue, sema tu naona aibu kukuambia!!! Ngoja siku nikakunywee Kaizer au lite tatu afu nije!!! usikilizie huo mtongozo.... ukibahatika kupona nitaomba msaada kwa consultant wa mitongozo ndg kiwatengu
Mkuu kuwa mkweli na
Wewe ni #TeamDomozege ???
 
Last edited by a moderator:
thanks much my dia.
urafki wa kweli kusaidana na mm ntakupa dawa wale woote waliourigia utawaweka kwenye himaya yako wewe andaa list tu kwa maana watakufuata wenyewe na wala hutotoa pesa.
huyu consultant wako ni mwanafunzi wangu.
Thanks my dear ICHANA, I am missing you BIG!!!
Nina kiwi sana dear, nipege tu!!
consultant wa mitongozo ndg kiwatengu
 
Ninayo dawa mkuu... subir nimpe Tized ataleta mrejesho ndo tuanze rasmi

Hahahahaaaaa... consultant kiwatengu asione hapa... Many thanks best yangu.... Nafikiri inabidi tufanye test kwanza mimi na wewe ili ujue dawa kiasi gani napaswa kutumia, to huenda ukajikuta unanipa neutralizer... hahahahahahaaaa
thanks much my dia.
urafki wa kweli kusaidana na mm ntakupa dawa wale woote waliourigia utawaweka kwenye himaya yako wewe andaa list tu kwa maana watakufuata wenyewe na wala hutotoa pesa.
huyu consultant wako ni mwanafunzi wangu.
 
Last edited by a moderator:
Laiti ungechukua hiyo fomula ya bibi leo ungekuwa tajiri;
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom