Davis Mosha afungua studio yake!

chakii

JF-Expert Member
Sep 15, 2013
19,666
22,674
Davis Mosha ambaye aliyekuwa mgombea Ubunge Moshi mjini kupitia CCM 2015, afungua studio yake. Hii ni kwa mujibu wa ukurasa wake wa Facebook.

Tunaomba wenye taarifa zaidi watujuze masafa ya vipindi vya redio na Television yake.
13166034_591902224298525_4201360389800212899_n (1).jpg
13173885_591902490965165_394673519167489392_n.jpg
 
Mbona le mutuz anasema sio ya mosha peke yake bali ni yeye le mutuz na Mosha wanamiliki kwa pamoja
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom