Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 16,506
- 41,016
Mbowe alishajaribu akashindwa, Slaa naye kajaribu kashindwa. Sasa cdm mpeni nafasi Zitto naye ajaribu, huenda atawapa raha wana cdm
Raha unatakiwa upewe na unayeamini ana uwezo wa kubadilisha mambo. Kama ni Zitto, si afadhali tufanye mabadiliko ya kumwongezea muda JK? Maana siamini kama tunaweza kupata chochote kutoka kwa Zitto zaidi ya mvurugano mkubwa wa kitaifa.