David Kafulila: Rais 2015 Lazima Atokee Kigoma

David Kafulila: Rais 2015 Lazima Atokee Kigoma

Status
Not open for further replies.
Labda Rais wa Kigoma atatoka kigoma, Lakini tunavyojua TZ ni Kubwa sana na watasimama wagombea wengi sana atakayepata kura zaidi ya 51% ndiyo Rais wa TZ
 
Kama sikosei mwaka jana Zitto alienda Malaysia na kama kawaida media zika-report kuwa alialikwa na Waziri mkuu mstaafu wa Malaysia!!! yaani waziri mkuu wa Malaysia anamualika mbunge mmoja tu toka Tanzania!
Alienda kupewa mbinu bora za kilimo cha michikichi kwa vile wao wamepiga hatua kubwa kwenye zao hilo, ingawa mbegu za michikichi zilitoka Kigoma!
 
kazi ipo huu ni uhuni kama tutaendelea kuwapa nchi mafisadi sio kila kingaracho ni dhahabu
 
Sasa mbona hamueleweki mara maneno yaliongelewa kigoma mara sinza....uupuzi mtupu yaani kuanzia kafulila hadi zito wote ni waroho wa madaraka hawafai kabisa waogopeni kama ukoma

kumbe unaweza kusoma na uselewe? rudia kusoma utaelewa tu kiongozi usipanic.
 
Kafulila tunamjua yeye na zitto na ninaomba zitto ni kwambie watu wana tambua mbinu zako.

Na ukikosa nafasi ya kuwania urais hama chama ukipenda.
 
1. Rais Julius Nyerere MARA
2. Rais Ali Hassani Mwinyi ZNZ (Sijui Mkoa gani)
3. Rais Benjamin Mkapa MTWARA
4. Rais Jakaya Kikwete PWANI

Kafulila Je, mikoa hiyo ina maendeleo sana/zaidi kuliko mikoa mingine yote ya Tanzania?

Hii dhambi ya UKABILI itakuharibia Zitto hata kama una ambition ya kuwa RAIS wa JMT
 
Kafulila na Zitto lao ni moja, wanadhani huyo rais atapigiwa kura na kigoma 2? Unaposema kigoma tumeonewa sana sasa inamaana huyo Rais atachaguliwa ili kulinda maslahi ya kigoma 2 na vipi sisi wa tabora tumtoe rais wetu? Pia unasema nchi ya malyasia na S.A kuwa wanataka Zitto awe Rais inamaana sisi wenye hatuwezi kuchagua mtu wetu mpaka wao watuchagulie? Hapa ndipo napopata tabu juu ya viongozi wetu vijana tuliodhani kuwa ni wakombozi nadala yake kumbe ni wachumia tumbo tu na wanazidi kutuondelea imani sisi vijana wenzao mbele ya jamii.
 
Siasa za aina hii tumezoea kuziona na kuzisikia huko Kenya,Zitto na genge lake la wahuni wanatuletea siasa za ukabila.Zitto mwenyewe hata taasisi ya ndoa haijaiweza anataka kuongoza watu milion 42 ?.

Kafulila maneno yake ya hovyo yatoa picha halisi kwanini alitimuliwa CDM na NCCR Mageuzi.Mpumbavu kabisa hakustahili kuwakilisha watanzania wa huko Kigoma mjengoni hana maana kabisa maneno ya akina Raila,Uhuru Kenyatta,Rutto na wakabila wa Kenya anatuletea Tanzania !.

Wanajamvi mtanisamee akili zimeahama sikutegemea vijana wetu watatuangusha kiasi hiki.
 
Maneno ya namna hiyo hayawezi kutamkwa na kiongozi wa wananchi.
Yanaweza kutamkwa tu na walevi wa gongo , matapu tapu na watumiaji wa ugoro.
Wakati mwingine na kwa mazingira fulani,walevi wa madaraka na utukufu wanaweza kuyatamka kwa ujasiri na ukakamavu bila chembe ya soni!
 
Wakati Makinda alipochaguliwa kuwa Spika, Sophia Simba na wenzake walipiga vigelegele sana huku wakiimba 'wanawake wakiwezeshwa - wanaweza'. Ni miaka 2 na nusu sasa tangu Makinda akalie hicho kiti, wanawake wa Tanzania wamepata nafuu gani kwa kuwa na Spika mwanamke? Ni kitu gani kimebalika kwa wakina mama (for better) tangu mwanamke awe Spika Tanzania?

Tukirudi kwa Kafulila, huyu kijana anataka watanzania waamini matatizo yaliyoko Kigoma ni kwa sababu mkoa haujawahi kupata rais toka huko? Na kwamba hakuna namna yoyote ya kutatua hayo matatizo unless kuwe na rais anayetoka Kigoma?

Ni jambo la kujutiwa sana kwamba vijana wa Tanzania waliozaliwa na kukuzwa kwenye mazingira ambayo si ya kikabila, kidini, wanaanza kufanya siasa za ukabila (na hata udini). Wametoa wapi hayo mawazo? Mtu alitegemea kikazi cha leo kiwe na fikra tofauti kabisa, kiwe modern in the sense wanaongea utaifa zaidi na sio ukabila au ukanda.

Binafsi sina tatizo hata kama cabinet yote itatoka kwenye familia moja let alone mkoa mmoja. Kwangu mimi cha msingi ni uongozi bora, uadilifu na tija na sio huyu mtu huyu katoka wapi, au ni wa dini gani. Tuna tatazo na vijana aina ya Kafulila.
 
Kigoma! Iringa vipi? Mbeya? Shinyanga je? Baada ya Jk kila mtu anaamini aweza kuwa rais. Ashakuwa SI unit! Kazi kweli kweli!!
 
Wabunge vijana mnatuabisha vijana wenzenu! hivi na nyie mmeshaingiwa na uchu wa madaraka kiasi hicho??siamini! yaani badala ya kujenga hoja bungeni za kuondoa umaskini, kuboresha elimu, miundo mbinu,kilimo, afya, umeme n.k nanyi mmeoga tope lilelile la ccm ya kupambana kugombea urais 2015??Kafulila ni akili yako kweli? kwanza una chama chako cha NCCR kwa nini uanze kupigia chapuo mgombea urais toka CHADEMA? halafu unadai Kigoma nanyi mnataka urais sawa lakini Tanzania ina mikoa mingapi? kila mkoa ukianza kudai urais Tanzania itakuwa na marais wangapi?? Tanzania tunataka rais ayajuaye matatizo yetu kwa dhati, mwenye mbinu na maono ya kuyatatua, sasa atatoka nguruka, kazira mimba, ujiji, mwandiga, mwanga, kasulu, kibondo, manyovu, ukerewe, mafia , kiembe samaki , kilacha kimaroroni, kwa pole, tegeta kibaoni au wapi sio issue! Issue tunataka mtu wa kutuondoa hapa mahali CCM na serikali yake walipotunasisha! Acheni mambo ya kitoto na kijinga tumikieni wananchi muda ukifika chukueni fomu muombe ridhaa ya vyama vyenu na ya watanzania wapiga kura!
 
FJM mkuu umemaliza kila kitu unastahili shahada ya heshima ya udaktari wa falsafa! hawa vijana nahisi wamesoma hizi shule za kata they are narrow minded siamini kama watu wa kigoma wote wapo hivi? mkapa ametoka lindi sijui mtwara mbona hatuoni mikoa ya kusini ikiwa wel off kuliko Arusha kilimanjaro mwanza?? uwezo wa kufikiri wa hawa vijana umefika mwisho 2015 kuwachagua tena ni janga! tulidhani kuwa na wabunge vijana toka upinzani wangesukuma maendeleo ndio hawa wanaanza kukumbatia ukabila hawana aibu!!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: FJM
Ushauri wa bure kwa Mh Kafulila. Napendekeza uende kwa Mh Zitto ukamwambie kuwa kama anataka kugombea urais basi mapema kabisa atafute chama kingine na sio CDM. Huku CDM pameshajaa, hakubaliki na wala asijidanganye. Nasikia kuna CHAUMA kimeanzishwa, sasa akimbilie huko haraka bila kupoteza muda kwani anaonekana ana usongo sana. Kwa nini Kigoma ni lazima atoke Rais???? huu sasa ndio ukabila. Baba wa Taifa alisema kuwa hatumchagui mtu kutokana na ukabila wala dini yake.

MTU ANAYEKIMBILIA IKULU NI WA KUOGPWA KAMA UKOMA.
Katiba mpya itaruhusu wagombea binafsi
 
Si Lowassa wala Zitto atakae kuwa Rais 2015. Rais kupitia Upinzani labda 2025. kitakachotokea tu ni Upinzani wataongeza idadi wa wabunge basi.
 
KIGOMA si ndio kule ambao asilimia 75 ya watu wa huko ni Warundi na WaCongo???????? Sasa nao wanataka URAIS? Kweli kazi ipo 2015.


Tukianza kubaguana kwa style hii, tutasema sasa na watu wa Mbeya wasigombee Urais kwa sababu 75% ni kutoka Malawi etc etc. Japo simkubali Zitto kwa Urais, lakini hiki kisiwe kigezo bana..
 
Siasa za aina hii tumezoea kuziona na kuzisikia huko Kenya,Zitto na genge lake la wahuni wanatuletea siasa za ukabila.Zitto mwenyewe hata taasisi ya ndoa haijaiweza anataka kuongoza watu milion 42 ?.

Kafulila maneno yake ya hovyo yatoa picha halisi kwanini alitimuliwa CDM na NCCR Mageuzi.Mpumbavu kabisa hakustahili kuwakilisha watanzania wa huko Kigoma mjengoni hana maana kabisa maneno ya akina Raila,Uhuru Kenyatta,Rutto na wakabila wa Kenya anatuletea Tanzania !.

Wanajamvi mtanisamee akili zimeahama sikutegemea vijana wetu watatuangusha kiasi hiki.

R.I.P Amina Chifupa!!!!
 
jana nili comment mbona watu wa kigoma wanamatatizo sana?

Kama tunataka balaa basi turuhusu Rahis atokee Kigoma!

Natangaza rasmi, Kigoma wote ni wahamiaji haramu!

Zitto mwenyewe M-Bembe sasa itakuwaje tutawaliwe na Mhamiaji kutoka Goma? Wasituchanganye hawa. Leo jamaa katangaza Nia, uwezo na uzalendo wa kuwa amiri jeshi mkuu anao na hana mashaka navyo vyote hivyo!!

Kaaaaaaaazi kweli kweli!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom