David Kafulila: Rais 2015 Lazima Atokee Kigoma

Status
Not open for further replies.
duuh! kwa hiyo kigoma wanataka Rais atokee kwao alaf iweje?huu ndio ukabila sasa ifike tukue kiakili swala la Zitto kuwa Rais apew mda Urais sio sehem ya mazoezi lakini mleta uzi badilika sio sawa kigoma kuwa wasindikizaji kwani ni mikoa mingapi imetoa Rais utakuwa umetumwa na Kagame mnyarwanda ww kazi yenu huijui endeleeni kubana pua na music utakuwa ila Urais bado sana hakuna vipaji vya siasa za kweli hapo kigoma huyu Zitto mwenyewe itafika sehemu atashitukiwa maana analazimisha kuwa mwenyekiti kwa nguvu utazani yeye ndio anafaa sana huku amekuwa mfa maji anashika hili ajamaliza anaenda lingine tusubiri ya uswiz sina maana kuwa afai ila apewe mda
 
maneno ya kafulila jana jioni hapa dodoma

" huu mjadala watu kukana hauna maana kabisa. wote wanaokana ndio wapiga debe wakubwa. waliyasema haya wanayoyakana. ni unafiki ndio unaowasumbua na uoga. kabla ya kuondoka, wote tulikaa pale sinza na kwa pamoja wakasema wanamuunga mkono, tukafika Kigoma wakarudia maeno yale yale ya kumuunga zitto. Iweje leo wanakana? Asilimia 85% ya wabunge wanamuunga mkono zitto kugombea urais. Wana kigoma tumeonewa sana. Muda umefika kuwepo usawa katika uongozi wa hii nchi. Hatuwezi kuwa wasindikizaji siku zote, wakati uwezo tunao. Tunaungwa mkono kila kona ya nchi na hata nje ya nchi, na kama ni demokrasia 2015 rais na makamu wake lazima watokee Kigoma. Rais wa Tanzania, Afrika Kusini, ujerumani na Malaysia wote wanataka umuona rais kijana Tanzania.Vyama vyote vya siasa humu nchini wanamtaka rais kijana, Kikwete mwenyewe anamtaka atakayemrithi awe kijana"



----------------------------------
Edward Lowassa For President 2015

wanatumiwa na kagame hao, stuka!
 
duuh! kwa hiyo kigoma wanataka Rais atokee kwao alaf iweje?huu ndio ukabila sasa ifike tukue kiakili swala la Zitto kuwa Rais apew mda Urais sio sehem ya mazoezi lakini mleta uzi badilika sio sawa kigoma kuwa wasindikizaji kwani ni mikoa mingapi imetoa Rais utakuwa umetumwa na Kagame mnyarwanda ww kazi yenu huijui endeleeni kubana pua na music utakuwa ila Urais bado sana hakuna vipaji vya siasa za kweli hapo kigoma huyu Zitto mwenyewe itafika sehemu atashitukiwa maana analazimisha kuwa mwenyekiti kwa nguvu utazani yeye ndio anafaa sana huku amekuwa mfa maji anashika hili ajamaliza anaenda lingine tusubiri ya uswiz sina maana kuwa afai ila apewe mda

mkuu, inabidi hawa watu wafuatiliwe uraia wao kwa karibu, TANZANIA hatuna waroho wa madaraka kiasi hiki.
 
ki ukweli hayo mawazo ya kafulila ni ya kubezwa,huyo kijana ni fundi wa uchonganishi,hivi nccr na ccm hakuna vijana?
 
Hii maneno akiyaona leo Kafulila kama akili yake inafanya kazi vizuri atauona utoto wake hapo.
 
Huyu kafulila na yeye ni boya tu! Ukisema Rais atoke Kigoma na makamu wake wewe unakuwa na akili kweli? Hawa watu wa Kigoma tatizo lao wanauchu wa madaraka, Embu tukumbushane haya, Kafulila ametimliwa CHADEMA kwa kutaka kuonekana yeye ndo anafaa pili, Ameenda NCCR-Mageuzi akaanza kung'ang'ania kuwa Mwenyekiti wa NCCR Kama yaleyale ya Zitto. Jamani huyu Zitto alikuwa ni mwanasiasa anae aminika lakini leo hii sina imani nae tena. Nimesema hvyo kwakuwa najua ndo walewale.
 
hii ni kali ya mwaka.siamini mtu mwenye akili timamu akaongea vitu vya ajabu kama hivyo.hatuchagui rais kuttokana na kanda,ukabila au kuoneana huruma kwamba mkoa fulani uliachwa nyuma.uliachwa na nani.hii ni dalili kuwa kuna baadhi ya makabila yanataka sasa yahurumiwe kwa kupewa au kugawiwa uongozi bila kufuata taratibu.tuna makabila mengi tanzania na kama yote yatatoe kaui hiyo ni hatari sana kwa hatima ya nchi yetu.cheo au madaraka yatokane na uwezo wa mtu na huo uwezo utapimwa na wananchi wa tanzania na siyo wa kabila fulani.hatuwezi kugawa uongozi kama peremende.kama zitto atastahili kuwa rais atapewa na watanzania si kikundi cha watu au kabila.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom