Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kafulila amewahi kumhakikishia machali kwamba kulikuwa na pesa ya kutosha toka nje ya nchi kufanikisha mpango wa kumng'oa mbatia kwenye uenyekiti wa nccr ili kusafisha njia ya zitto kutimkia huko na jeshi kubwa la mamluki wake. Lazima ataharuki anapoona vijana wake wanamkana. Malengo ya hawa watu wa nje wanaotoa pesa yao ndiyo yanayotisha. Tuliyoyaona kwenye utawala wa kikwete yanatosha.
sasa ni lazima cdm mcheze karata vizuri or else mtakuwa nikupiga kelele tu. Vijana tunahitaji kulikomboa taifa hili. Kama tunataka twende ikulu "we must not gamble". Tumuweke kijana, msomi na mwenye vision nzuri na nchi hii. Some one who is likable. Nafikiri kijana zitto akipewa nafasi kurusha bendera yetu tutakwenda ikulu. Sasa hivi tujaribu tu kumuuza kijana huyu tutafute wanachama vijana wote wa nchi hii ambao watatupigia kura na si kulumbana maana muda umekwenda. Ni hayo tu.
wasukuma wanatoka miakoa ya shinyanga, mwanza , geita na simiyu baadhi ya sehemu za tabora na singida maeneo ya kina mwigullu nchemba wanatabia ya kuhamia sehemu zenye rutuba ili waweze kufanya kilimo na ufugaji lakini kinachowapa nafasi ya kukubalika ni upole wao na ukarimu wao na jinsi wanavyoweza kushirikiana na kabila lolote tanzania kikubwa zaidi ni wawazi si wanafiki wanao uwezo wa kusema no. Penye dhuruma.kumbe hawa wanautambulisho wa kabila lao.
Kwa upande mwingine kabila la waha wantoka kigoma inasemekana wanasifa ya ubishi na ubinafsi hawana ushirikiano na kabila lolote zaidi ya wao kwa wao yaani waha.kumbe ubinafsi ni sifa yao inasemekana eneo lao linarutuba sana lakini wasukuma imeshindikana kuingia eneo hilo kwa sababu ya ubinafsi wa jamaa wale.kwa hiyo cdm hii hali itawatesa na kijana msimulaumu kwani naye kazaliwa kaikuta hali hii toka kwa babu zao.huwezi kumlaumu kwani si yeye bali ni gene ya clan.msameheni bure
ndiyo maana msukuma na ng'ombe na kilimo hata asome vipi lazima afanye hiyo shughuli direct or indirect
maneno ya kafulila jana jioni hapa dodoma
" huu mjadala watu kukana hauna maana kabisa. wote wanaokana ndio wapiga debe wakubwa. waliyasema haya wanayoyakana. ni unafiki ndio unaowasumbua na uoga. kabla ya kuondoka, wote tulikaa pale sinza na kwa pamoja wakasema wanamuunga mkono, tukafika Kigoma wakarudia maeno yale yale ya kumuunga zitto. Iweje leo wanakana? Asilimia 85% ya wabunge wanamuunga mkono zitto kugombea urais. Wana kigoma tumeonewa sana. Muda umefika kuwepo usawa katika uongozi wa hii nchi. Hatuwezi kuwa wasindikizaji siku zote, wakati uwezo tunao. Tunaungwa mkono kila kona ya nchi na hata nje ya nchi, na kama ni demokrasia 2015 rais na makamu wake lazima watokee Kigoma. Rais wa Tanzania, Afrika Kusini, ujerumani na Malaysia wote wanataka umuona rais kijana Tanzania.Vyama vyote vya siasa humu nchini wanamtaka rais kijana, Kikwete mwenyewe anamtaka atakayemrithi awe kijana"
----------------------------------
Edward Lowassa For President 2015
Tukijadili mambo ya msingi inakuwa tunaleta UKABILA na UDINI? Ukweli uko pale pale nenda KIGOMA ndio utajua nazungumzia nini. Wapeni URAIS muone.Mimi sioni mantiki ya ukabila,kama tukiendekeza ukabila basi wasukuma watawala milele!
Kama Zitto anakubalika kwa Kikwete, hakubaliki kwangu.sasa ni lazima CDM mcheze karata vizuri or else mtakuwa nikupiga kelele tu. vijana tunahitaji kulikomboa taifa hili. kama tunataka twende ikulu "we must not gamble". tumuweke kijana, msomi na mwenye vision nzuri na nchi hii. some one who is likable. nafikiri kijana Zitto akipewa nafasi kurusha bendera yetu tutakwenda ikulu. Sasa hivi tujaribu tu kumuuza kijana huyu tutafute wanachama vijana wote wa nchi hii ambao watatupigia kura na si kulumbana maana muda umekwenda. ni hayo tu.
maneno ya kafulila jana jioni hapa dodoma
" huu mjadala watu kukana hauna maana kabisa. wote wanaokana ndio wapiga debe wakubwa. waliyasema haya wanayoyakana. ni unafiki ndio unaowasumbua na uoga. kabla ya kuondoka, wote tulikaa pale sinza na kwa pamoja wakasema wanamuunga mkono, tukafika Kigoma wakarudia maeno yale yale ya kumuunga zitto. Iweje leo wanakana? Asilimia 85% ya wabunge wanamuunga mkono zitto kugombea urais. Wana kigoma tumeonewa sana. Muda umefika kuwepo usawa katika uongozi wa hii nchi. Hatuwezi kuwa wasindikizaji siku zote, wakati uwezo tunao. Tunaungwa mkono kila kona ya nchi na hata nje ya nchi, na kama ni demokrasia 2015 rais na makamu wake lazima watokee Kigoma. Rais wa Tanzania, Afrika Kusini, ujerumani na Malaysia wote wanataka umuona rais kijana Tanzania.Vyama vyote vya siasa humu nchini wanamtaka rais kijana, Kikwete mwenyewe anamtaka atakayemrithi awe kijana"
----------------------------------
Edward Lowassa For President 2015
maneno ya kafulila jana jioni hapa dodoma
. Tunaungwa mkono kila kona ya nchi na hata nje ya nchi, na kama ni demokrasia 2015 rais na makamu wake lazima watokee Kigoma. Rais wa Tanzania, Afrika Kusini, ujerumani na Malaysia wote wanataka umuona rais kijana Tanzania.Vyama vyote vya siasa humu nchini wanamtaka rais kijana, Kikwete mwenyewe anamtaka atakayemrithi awe kijana"