David Kafulila anaoa leo 22/11/2014

David Kafulila anaoa leo 22/11/2014

PhD

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2009
Posts
4,835
Reaction score
4,240
Ndugu zangu tukiwa kwenye kashi kashi na suala la escrow, Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) anategemea kufunga ndoa kesho huko Kigoma. Namtakia maandalizi mema kati hiyo siku yake kubwa ya Kihistoria katika Maisha yake.
=====================

1972276_10152802115044360_6237464108418538903_n.jpg

Bwana Harusi David Kafulila wa pili kushoto akiwa na msimamizi wa ndoa yake Deo Filikunjombe wa kwanza kushoto na marafiki zake David Silinde wa kwanza kulia na Zitto Kabwe wa pili kulia. Mia
attachment.php

23, 2014

unnamed%2B%2855%29.jpg

Mbunge wa Kigoma Kusini Mhe David Kafulila akiwa na mai waifu wake Jessica Kishoa wakijiandaa kukata utepe wa kuingia katika mnuso kwenye ukumbi wa Annex uliopo Uvinza, Kigoma, jana Jumamosi Novemba 22, 2014
unnamed%2B%2856%29.jpg

Mhe David Kafulila akiwa kanisani na mai waifu wake wa Jessica Kishoa wakati wa kufunga ndoa katika kanisa la Roman Catholic katika Parokia ya uvinza, Kigoma, jana Jumamosi Novemba 22, 2014
unnamed%2B%2857%29.jpg

Mhe David Kafulila na mai waifu wake Jessica Kishoa pamoja na wapambe wao Mhe. Deo Filikujombe na mke wake Sarah Filikunjombe wakipeleka keki kwa wazazi wa bwana harusi

:
 
Aisee jamaa ni shujaa sana acha aweke kitu ndani!!
Hongera sana Mh. Kafulila.
 
Anamuoa Jesca Kishoa wa Chadema. Ukawa kama kawa
 
Mtoto atakayezaliwa aitwe Escrow bila kujali ni wa kike au wa kiume maana hiyo akaunti haikuwa na ubaguzi wa jinsi.
Hilo nami lilikuwa wazo langu umewahi kulitumia! Nadhani tungekuwa na wabunge 25% tuu wanaoweza kujitoa muhanga kama hawa vijana wizi na utendaji wa hovyo hovyo serikalini ungepungua sana kama sio kwisha.
 
Ndugu zangu tukiwa kwenye kashi kashi na suala la escrow ; kesho yule kijana aliyeitwa tumbili anategemea kufunga ndoa kesho huko kigoma.huyu si mwingine bali ndugu kafulila sijui kama mwizi Werema at a hudhuru a.

You are not doing justice to him. Why call him a tumbili pasipo hata kuweka neno tumbili kwenye inverted commas? It is not fair.
 
Karibu kwenye ulimwengu wa Ndoa,Bado Brother Z yeye sijui lini.!!
 
Asioe bhana ili aendelee kujilipua... Ukishakua na familia ukijilipua ngumu mtu unaiwazia familia itabaki vp
 
Back
Top Bottom