jamiif
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 2,413
- 990
umeona ee! jamaa kanichafulia hali ya hewa huyo! well said grafani!
Hata kama hatuwezi tujaribu kuwa na moyo wa kushukuru kwa madogo mwenzetu anayotutendea hayo makubwa tumuachie Mungu ataongea naye na atafanya kwa wakati wake.
Kwani wakati anafanya hayo, ninani kati yetu alimshauri? Tuache chuki binafsi jamani! ndiyo maana ngozi nyeusi hatuendelei, waungwana hushukuru na hapo ndipo Mungu hufungua milango ya hayo mengine.
Tukumbuke nchi hii ina matajiri wengi sana, mafisadi wengi sana, nawauliza nani kati ya hao amewajali walala hoi kama huyu ndugu yetu Daudi! Hukumu ni ya Mungu, tuache kuchukua majukumu ya Mungu mikononi mwetu.