Dark psychology

Dark psychology

Dr leader

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2016
Posts
1,041
Reaction score
1,294
DARK PSYCHOLOGY 🧠

1. Mtu akikuomba msamaha, usiseme “hakuna shida.”
Sema “Asante.”
Hapo anahisi kosa lake lina uzito… na mara nyingi hatolirudia.

2. Ukipiga miayo kisha mtu mwingine naye akapiga miayo…
ujue alikuwa anakutazama.

3. Ukiwa kwenye ugomvi, usitumie matusi. Muonyeshe ishara Dole gumba chini (👎) linaumiza zaidi kuliko matusi mengi.

4. Ukiangalia midomo ya mtu wakati anaongea, anahisi unavutiwa naye.
Ukiangalia paji la uso, unaonekana una mamlaka zaidi.

5. Mtu akikufokea sana, muulize tu:
“Una siku mbaya leo?”
Mara nyingi hapo hasira hushuka.

Watu wachache wanaelewa michezo hii ya akili.

Abuu Abdillah
 
DARK PSYCHOLOGY 🧠

1. Mtu akikuomba msamaha, usiseme “hakuna shida.”
Sema “Asante.”
Hapo anahisi kosa lake lina uzito… na mara nyingi hatolirudia.


2. Ukipiga miayo kisha mtu mwingine naye akapiga miayo…
ujue alikuwa anakutazama.


3. Ukiwa kwenye ugomvi, usitumie matusi. Muonyeshe ishara Dole gumba chini (👎) linaumiza zaidi kuliko matusi mengi.


4. Ukiangalia midomo ya mtu wakati anaongea, anahisi unavutiwa naye.
Ukiangalia paji la uso, unaonekana una mamlaka zaidi.


5. Mtu akikufokea sana, muulize tu:
“Una siku mbaya leo?”
Mara nyingi hapo hasira hushuka.



Watu wachache wanaelewa michezo hii ya akili.


Abuu Abdillah
Ukiangalia midomo ya mtu wakati anaongea, anahisi unavutiwa naye.
Ukiangalia paji la uso, unaonekana una mamlaka zaidi.📌🔨
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom