Fifteen
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 414
- 500
Alafu anakwambia wasukuma ndo hawajitambui eti kaskazin wanajitambua akati nchi yote haijaendelea ko hata akijenga chato ni sawa TUUkitembelea Rombo, Marangu, Machame mpaka kibosho hakuna maji ya bomba, umeme bado haujafika na hakuna barabara ya lami mkuu Kilimanjaro hakuna maendeleo kuna walevi tu. Huo ukanda pia kuna kaya hazina choo wanajisaidia maporini.